UBATIZO UNAOTAKIWA NI HUU

✍🏾✍🏾KWA HABARI YA UBATIZO ULIOAMRIWA NA YESU Mnazareth✍🏾✍🏾

Mch. Richard Kutoka MOROGORO VETA DAKAWA

Utangulizi↘

Ufafanuzi Kuhusu kuzaliwa kwa maji mistari. 3!6 "kilochozaliwa kwa mwili ni mwili kilochozaliwa kwa Roho ni Roho.

Roho ni Roho na mambo yake huenda kiroho ni

Mwili ni mwili na Mambo yake huenda kimwili

MAANA YA MANENO HAYA.

1!Maji=Mafundisho ya neno
       
2!Roho=Katika Roho Mtakatifu

3;Kuzaliwa=Kuwatoa kwenye fikira za kale damu na nyama nakuwaleta katika fikira za Rohoni.(kilochozaliwa kiroho ni Roho.

4;Kubatizwa; Kuwahubiria/Kuwashawishi watu

5;Wanafunzi; wafuasi WA Yesu mnazareth.

☝🏽☝🏽UTofauti ya watu walienda na Maandiko katika mwili nakujikuta Roho bado ikawa inapoteaa mkristo unamkuta kanisani yumo uchawi yeye ulevi yeye Uzinzi yeye kwakuwa Yupo kimwili Anaongozwa kimwili.

Yohana.3;1-10

Utabiri WA Yohana kuhusu Ubatizo WA Roho Mtakatifu Aliouleta Yesu WA Maji kuzikwa utu  WA kale kwa maji Uliishia kwa Yohana mbatizaji
👇🏾👇🏾👇🏾
Mathayo.3;

Soma;
Agizo LA Yesu Kuhusu Kuwabatiza👇🏾👇🏾👇🏾

Matthew 28:18-20
Mathayo:28:18-20

[18]And Jesus came and spake unto them, saying, All power is given unto me in heaven and in earth.

☝🏽☝🏽☝🏽☝🏽☝🏽
Yesu akaja kwao, akasema nao, akawaambia, Nimepewa mamlaka yote mbinguni na duniani.

☝🏽☝🏽☝🏽☝🏽
[19]Go ye therefore, and teach all nations, baptizing them in the name of the Father, and of the Son, and of the Holy Ghost:

☝🏽☝🏽☝🏽☝🏽
Basi, enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwa wanafunzi, mkiwabatiza kwa jina la Baba, na Mwana, na Roho Mtakatifu;

☝🏽☝🏽☝🏽☝🏽☝🏽
[20]Teaching them to observe all things whatsoever I have commanded you: and, lo, I am with you alway, even unto the end of the world. Amen.
☝🏽☝🏽☝🏽☝🏽
na kuwafundisha kuyashika yote niliyowaamuru ninyi; na tazama, mimi nipo pamoja nanyi siku zote, hata ukamilifu wa dahari.

✍🏾✍🏾Nifuraha YANGU kumbwa  kuona Neema Ya Bwana wetu Yesu kristo ikizidi kututawala nakutupigania mengi

Nami nikiugana nanyi katika Roho kuhakikisha Injili Yake inazidi  kufungua mataifa mengi nakuwakomboa wengi ufahamu wao.

Ndugu zangu yafaa nini kwetu kuendeshwa na mwili Baadala ya Roho

Je Kwanini sisi watoto WA MUNGU hushawishiwa na kutekwa na Mambo ya dunia

Kwanini Unashindwa kuvuka  Ukiwa upo nasi katika Kuihubiri Injili ya Roho Mtakatifu kwanini Uvuki pito hilo

Basi ndugu zangu kwenu nilichokuja kuelewa hatukufundishwa vita na mapambano toka awali

KARIBUNI Wapenzi wangu Leo nikienda kukumbushia Ubatizo WA Roho Mtakatifu

Ni Ubatizo unaoenda kiroho na kutimizwa kimwili kuleta mabadiliko.

Ubatizo huu huwa ni uke MTU anatolewa kwenye majina ya mtesayo anapewa jina jigine

Mfano WA  ubatizo huu ilivyo

Mchungaji Richard =Moto WA Yesu

Yakobo=  Israeli

Petro= Jiwe

Sarai=Sara

Emmanueli=Yesu mnazareth

Na wengine wengi Waliobatizwa katika Ubatizo huu WA Roho Mtakatifu

✍🏾jina LA mwili na jina LA Roho alilozaliwa nalo

Mwili.=Richard
          
Roho=Moto WA Yesu

Mwili lakuzaliwa=Yakobo

Rohoni alilozaliwa=Israel

Mwili alilozaliwa nalo; Sarai

Rohoni alilopewa.    ;Sara

Mwilini alilozaliwa nalo.: Emmanuel

Rohoni alilozaliwa nalo.
Yesu kristo

Mwili;  Petro

Roho; jiwe

Nk wapo wengi  waliozaliwa katika Roho

🤝Wanaohusika kuvunja jina lako lilo kutumikisha NA kukupa LA Rohoni.

1;Mchungaji.Nabii.Mwinjilisti.

2!Roho Mtakatifu/Sauti Ya MUNGU isikike kwako inakuabia .

Huwa Baada YA Hapo MTU huyu Atatakiwa Apewe Mafundisho Ya kumjenga Kiroho

Alelewe Katika njia na Mafundisho ya Roho Mtakatifu

👏🏾👏🏾Kwanini MTU asiloweke kwenye Maji.

Huo ulikuwa Ubatizo kabla ya YESU

UTARATIBU aliouacha ni huo

Sio kubatizwa na maji Mbali Na Roho Mtakatifu

Yaani jina lilozaliwa kimwili ukija kwake linafutwa unaitwa jina jigine

Ikiwa  Tunaenda kiroho lazima Tutii alichokiamru

Bwana Yesu mnazareth

Tukiendelea na ya kale itakuwa kama tunaenda vile alivyotukuta na utarabu wetu ule  ule  itamshagaza sana

Baada ya kuvunjika jina lako katika ulimwengu WA Roho Mtumishi atakuombea lile Ambalo Amekupa na litatambulika ukurasa mpya WA kuinuliwa kwako.

Soma Biblia mistari hiyo


By Pastor Richard

Holy Spirit Ministry

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

NDOTO 20 ZA SHULENI TU MAZINGIRA Ya SHULE

SOMO: NGUVU YA KUJITAMBUA

SOMO:ADUI NA JINSI YA KUMKABILI ADUI YAKO.