Somo;Imani Yenye Nguvu inavyoleta majibu fasta
SOMO;IMANI YENYE NGUVU HAISHINDWI KITU 👉🏽👉🏽👉🏽Luka:8;25-32👉🏽Luka;18;42👉🏽Matendo;15;9👉🏽Warumi;14;1 ☝🏼☝🏼👉🏽Imani Yenye Nguvu ndio ikoje?? Hii huwa Hali iliyomo ndani mtu inayompatia mtu was kuliona Tatizo ngumu linawezekana Mawazo na fikira zinakuwa zipo juu katika kufikiri inawezekana 👉🏽👉🏽👉🏽👉🏽👉🏽👉🏽Faida za Mtu mwenye Imani Kubwa👉🏽👉🏽👉🏽👉🏽👉🏽 👉🏽Hazidiwi na pito lolote au jaribu 👉🏽👉🏽Hashindwi kitu kimwili na kiroho 👉🏽👉🏽Ana...