Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Mei 24, 2021

SOMO:MAZINGIRA YA SHETANI ANAVYOMKAMATA MTU

SOMO: MAZINGIRA ANAYOTUMIA SHETANI KUKAMATA; 🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳 Vitabu Rejea: Waamuzi;16' Matendo:6;8-15, Yeremia:26:👉🏿2Nyakati:22:1-9 __________________________________________________________________ Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro Veta Dakawa Kutoka Kanisa la Holy Spirit Karibu Leo Nataka Nikufungue Akili yako Inawezekana Unateseka Lakini huelewi Shetani huwa Anatumia Njia Zipi ili Akukamate Na Akutumikishe na matatizo Kupitia Hili Somo Utapona Pakubwa Sana Ambapo umeteseka miaka mingi Sana Karibu🙏🙏 MAZINGIRA maana Yake kila Kitu Kilichokuzunguka wewe. KUKAMATWA Ni kuwekwa chini ya himaya ya utumwa wa Shetani Kutembea katika Tabia Zake. 1: MAZINGIRA YA KWANZA ANAYOYATUMIA KUKAMAT...