MAMBO 20 YA KUFANYA UKITAKA UMFURAHISHE MUMEO
MAMBO 2O YA KUZINGATIA UNAPOTAKA MUME WAKO AFURAHIE NDOA YENU Mithali:12;1_5 Karibuni katika Darasa la Wanandoa +18 Tuongeee na Kupeana elimu katika Njia yenye kujenga ndoa zetu katika kipengele cha kuwapokea Wanaume wapotoka Kazini na mambo yanayomfurahisha mumeo Mwalimu anayekuletea Darasa NAITWA PASTOR RICHARD WHATSAPP NUMBA +255759861768 1:Unapomkaribisha mume wako hakikisha unaanza kwa kupokea mzingo wake kisha msalimu kwa heshima (piga magoti) nakumkaribisha. 2:Unapoanza Kuongea naye anzia kumweleza Habari nzuri na kumpa Pole kwa mihagaiko kisha muulize anaenda kuoga au Anakula kwanza. 3;Hakikisha Unakuwa msafi na unaoga vizuri mumeo anaporudi akukute upo msafi. 4;Safisha nyumba yako na Kutandika kitanda chenu vizuri mumeo asirudi akute chumba hakijatandikwa. 5.Badilisha mitindo ya nywele Na Kuvaa nguo anazozipenda mume wako. 6.Mshukuru Mumeo Kwa Kile kindogo anachokupa mwambie Ansate mfalme wangu. Fanya mara kwa mara. 7.Usimuite mumeo majina haya mume/Jeremia/rafiki y...