Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Machi 2, 2022

SOMO; JINSI YA KUMSAINDIA MTU MLEVI

SOMO; JINSI YA KUMSAINDIA MTU MLEVI ASINYWE POMBE Tusome;Zaburi 107:27 [27]Wayumba-yumba, wapepesuka kama mlevi, Akili zao zote zawapotea. mlevi Ni mtu anayetawaliwa na kiu ya Mpombe au Kilevi. Maana ya Kilevi; Ni kitu Chochote CHENYE nguvu yakukulewesha. KWA SABABU ZIPI ZIMEMFANYA ANYWE POMBE. Fatilia ujue chazo Ni Nini kunywa POMBE. 1;NAKUNYWA KWA SABABU NAPATA PESA. Inawezekana Anakunywa kwa Sababu Anashika Pesa Basi unatakiwa Uwe Unachukua Pesa na Kuhakiki hakai na Pesa au Kuongea naye kushikilia wewe Pesa. 2:MARAFIKI NILIONAO WANANISHAWISHI. Kwanza mwenyewe ajitambue asitembee na marafiki wasio na faida aachane nao mwenyewe. 3:NI URITHI KATIKA KIZAZI CHETU. Kama amerithi Kutoka nyuma Basi Yeye mwenyewe anatakiwa aingie ajikomboe kwenye Mizimu Yao Maombi yakujikomboa kwenye Mizimu utayapata kwenye tovoti yangu 👉🏿www.mchungajirichardi.blogspot.com 4;NAKUNYWA KAMA STAREHE au  KUPUNGUZA MSONGO WA MAWAZO. Kama huwa Anakuambia hivyo muulize hawezi...

Tangazo la Huduma

  TANGAZO 2022 Ni Mwaka Wa Masahihisho Pastor Richard Pastor Richard Ndiooo Pastor Richard Yupo Wapi Morogoro Veta Dakawa Ukitoka mizani kituo kinafhofata Amekuwa akiwafungua watu na Kuwaponya Kupitia Mafundisho ya Neno la Mungu Yeye Haombei Anafundisha Neno la Mungu Na Anakuelekeza Jinsi Ya Kujikomboa.   Mwenyewe Amepewa Kuona katika roho na kukutatulia Kupitia roho Ukifika kwa Pastor Richard utakaa siku Tatu kula utajigharamia pakulala Papo Uje na notbook Pen Na Biblia Kumuona na Kufundishwa Ni Buree Huduma zake hatozi Chochote Zaidi uje na Sadaka Yako ya Ukombozi Kiasi ulichojaliwa. Akikuuliza mtu Mwambie Pastor Richard Wa Morogoro Moto unawaka Zaidi Ya Jana Twende Tukafundishwe Neno la Mungu Tupone. Wahi mapema walete Ambao Wamefungwa nguvu ya Neno itawaponya Hana Imani ya maji au mafuta anaamini Neno la Mungu MFATE Facebook Seach Kanisa la Moto wa Yesu au Bishop Richard Tz YouTube ; Kanisa la Moto wa Yesu Tikitok;Kanisa la Moto wa Yesu WhatsApp number+2...