SOMO;IBADA YA NYUMBANI
SOMO: IBADA YA NYUMBANI (MADHABAHU YA FAMILIA) . AGIZO LA KI MUNGU TUTAANZISHA MADHABAHU YA NYUMBANI KUANZIA LEO FATA MAELEKEZO KATIKA SOMO HILI 1. UTANGULIZI Ibada ya nyumbani si mkutano wa kidini tu, bali ni kitendo cha kuweka wakfu nyumba na maisha ya kila siku chini ya mamlaka ya Mungu. Ni mahali ambapo familia inakutana na Mungu wao nje ya mazingira ya kanisani.. Ni Muhimu Nyumbani Tuwe na Ibada Familia Tuwe Tunakusanyika kabla Ya Kulala Tusali Pamoja Tutege Muda maalumu kuimarisha Madhabahu ya Nyumbani Tutakuwa Tunatoa na Sadaka Na Kila Jumapili Jioni KIONGOZI Atanipigia Naiombea Madhabahu Hiyo ya Nyumbani. NENO LINADHIBITISHA Zaburi 127:1 — "Bwana asipoijenga nyumba, waijengao wafanya kazi bure." 🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝 ZINGATIA HAYA; 1:Tutatenga Muda Wa Ibada Maalumu Tutumie Muda mfupi Sana Dakika 15 au 10 2;Kiongozi Wa Maombi Ni Wewe Mwanangu uliye Kwenye Group Unapoishi Anzisha IBADA ya Familia. 3:Kila Jumapili Kiongozi Atanipigia Anaweka Raoud Spika Naiombea Mad...