Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Aprili 27, 2026

SOMO;IBADA YA NYUMBANI

SOMO: IBADA YA NYUMBANI (MADHABAHU YA FAMILIA) .  AGIZO LA KI MUNGU TUTAANZISHA MADHABAHU YA NYUMBANI KUANZIA LEO FATA MAELEKEZO KATIKA SOMO HILI ​1. UTANGULIZI ​Ibada ya nyumbani si mkutano wa kidini tu, bali ni kitendo cha kuweka wakfu nyumba na maisha ya kila siku chini ya mamlaka ya Mungu. Ni mahali ambapo familia inakutana na Mungu wao nje ya mazingira ya kanisani.. Ni Muhimu Nyumbani Tuwe na Ibada Familia Tuwe Tunakusanyika kabla Ya Kulala Tusali Pamoja Tutege Muda maalumu kuimarisha Madhabahu ya Nyumbani Tutakuwa Tunatoa na Sadaka Na Kila Jumapili Jioni KIONGOZI Atanipigia Naiombea Madhabahu Hiyo ya Nyumbani.  NENO LINADHIBITISHA ​Zaburi 127:1 — "Bwana asipoijenga nyumba, waijengao wafanya kazi bure." 🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝 ZINGATIA HAYA; 1:Tutatenga Muda Wa Ibada Maalumu Tutumie Muda mfupi Sana Dakika 15 au 10 2;Kiongozi Wa Maombi Ni Wewe Mwanangu uliye Kwenye Group Unapoishi Anzisha IBADA ya Familia.  3:Kila Jumapili Kiongozi Atanipigia Anaweka Raoud Spika Naiombea Mad...

SOMO: USALAMA WA KIROHO

SOMO: USALAMA WA KIROHO(Spiritual Security) ​Utangulizi Naitwa Pastor Richard Wa Morogoro.  Karibuni Katika Somo nzuri ​Usalama wa kiroho ni hali ya kuwa ndani ya ulinzi wa Mungu bila kutoa mwanya wowote kwa adui (shetani) kupata mlango wa kuingia kwenye maisha yako. Kama vile tunavyolinda nyumba zetu kwa mageti na walinzi, roho zetu zinahitaji ulinzi dhidi ya mashambulizi ya kiroho. ​1. Misingi ya Usalama wa Kiroho ​Ili uwe salama, lazima uwe na misingi imara inayokulinda na mishale ya adui: ➖​Wokovu✍🏾: Huu ndio ukuta wa kwanza. Bila kuwa ndani ya Kristo, hauna mamlaka ya kisheria ya kupinga mashambulizi ya giza ​➖Neno la Mungu✍🏾: Neno ni taa na silaha. Linakupa maarifa ya kujua mbinu za adui. ​"Watu wangu wanaangamizwa kwa kukosa maarifa." (Hosea 4:6) ➖​Utii✍🏾: Maisha ya dhambi yanatengeneza matundu kwenye ukuta wako wa ulinzi. Utii unaziba mianya hiyo. ​2. Silaha za Kulinda Usalama Wako (Waefeso 6:11-18) ​Biblia inatupa "Vazi la Kinga"  ambayo kila mwamini ana...