LASIMU YA KANUNI

YALIYOMO Sura ya Kwanza: Taratibu Za Ibada Sura ya Pili UBATIZO Sura ya Tatu MEZA YA BWANA Sura ya Nne Mashemasi na Wazee wakanisa Sura ya Tano Sadaka na Taratibu Zake Sura ya Sita Mipaka na Wajibikaji wa Viongozi Sura ya Saba Ndoa na Uchumba Sura ya Nane Umoja na Ushirikiano Sura ya Tisa๐๐ฟMASHARTI YA KUJIUNGA UCHUNGAJI NA SIFA ZA WACHUNGAJI SURA KUMI๐๐ฟ MAONO YATATIMIZWAJE 1:SURA YA KWANZA ๐๐ฟ๐๐ฟTARATIBU ZA IBADA ๐ฆ๐๐ฟ Taratibu za ibada Ni miongozo mbalimbali za kanisa zinazohusiana na ibada Zetu ndani Ya Kanisa la Holy Spirit Ibada Zetu zitaongozwa na Roho Mtakatifu Kufundisha na kuongoza ibada zetu Ibada Zetu zitakuwa Kama ifatavyo A๐๐ฟ๐๐ฟIBADA KUU ๐๐ฟ๐๐ฟ Jumapili ibada inaanza Saa 8:30-12;30(Saa mbili na nusu mpaka Saa Sita na Nusu Hii ni Ibaada Yote Jumapili itaanza Saa mbili na Nusu katika muda huo Vjpindi vitaanza Jioni ibada ya marudio itaanza Saa:4:00 mpaka Saa 6:00 Jioni(Saa kumi mpaka Saa kumi na mbili ๐๐ฟ๐๐ฟ1:SUNDAY SCHOOL ๐๐ฟ๐๐ฟ Sunday School...