Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Agosti 19, 2021

SOMO:ISHARA 23 ZA MWANAMKE ANAEKUPENDA

SOMO: ISHARA 23 ZItakazokujulisha MWANAMKE ANAKUPENDA KWA DHATI Nawakaribisha Katika Nakala hii na Elimu hii ya ndoa kwa ajili yako Wewe uliyepo kwenye ndoa au Unaejiadaa Kuingia Mimi nayekuletea Nakala hii Naitwa Mwalimu wa Wanandoa TUSOME Mithali;9;9 Mithali;12;1-7                           1: Anaonyesha ishara za Wivu Mwanamke anayekupenda huonyeshwa ishara za wivu. Hapendi kukuona ukiongea na mwanamke yeyote. Wakati mwingine huenda akasirika hata ukiongea na msichana wa familia yako. Wakati mwingine hudhania labda unayeongea naye mko na uhusiano wa kimapenzi. 2. Hukuangalia machoni bila kuogopa Ishara ya kwanza kabisa ni wakati mnapoangaliana macho kwa macho. Anapokuangalia machoni anaonyesha kuwa anakuamini na haogopi kuwa kwenye uhusiano na wewe. 3. Huonekana na wasiwasi anapokuona Hii hujitokeza sana kwa wanawake wengi. Mnapokutana, anaonekana kutaka ...

SOMO: SIRAHA 5 ZA KUMTEKA MWANAUME

Picha
SOMO: SIRAHA 5 ZA KUMTEKA MWANAUME YEYOTE Tufunue Mithali;14;1-5 ,12:1-3 Karibuni Wanandoa Tuogee Leo Kuhusu ufanye Nini ili mmeo au mchumba umkamate Asirukeruke au Kutangatanga huku MPE haya yatakufanya Mwanaume Yeyote Asiruke au Asikunyanyase Silaha hizi Zitumie wewe mwanamke imara Naitwa Pastor Richard Mwalimu wa Wanandoa WhatsApp Number Pastor Richard+255759861768 SILAHA YA KWANZA Silaha ya kwanza anayopaswa kuwa nayo mwanamke ni kuwa na maisha yake na siyo maisha ya kuiga. Wapo wanawake ambao hupenda kuiga kile kinachofanywa na wanawake wenzake na kudhani hivyo ndivyo anavyopaswa kuwa. Mwanamke mwenye tabia hii anaonekana ni mtu feki. Mwenye tabia hii huwa hana mvuto kwa mwanaume kwani atakuwa ni mwanamke feki. Ukweli ni kwamba wanaume wanapenda mwanamke anayeishi maisha halisi. SILAHA YA PILI Mwanamke anapaswa kuwa mtiifu na mwenye heshima na busara. Mwanamke hapaswi kuwa na kiburi na kutaka kuota mapembe kwenye uhusiano wake. Heshima na utiifu haimaanish...