Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Aprili 13, 2021

HAYA NDIYO YANAKUJULISHA MAHUSIANO YENU YANAENDA KUVUNJIKA

HAYA NDIYO YANAKUJULISHA MAHUSIANO YENU YANAENDA KUVUNJIKA Mithali:12;1-2 Mwalimu Wa Wanandoa @2021 Pastor Richard Najua wengi huwa hatujui Viashiria na Dalili zinazojulisha mahusiano yanaenda KUVUNJIKA Ukiyaona haya ujue uchumba unaenda kuvunjika 1;MAWASILIANO KUWA DUNI Kama mawasiliano yalikuwa ni mara nyingi kama tano kwa siku (kwa wale walio mbali.), na ukiona yanaaza kushuka hadi mara mbili hadi mwisho wa siku mawasiliano kukata kabisa. Na kila mmoja akiulizwa swali kwanini anasema nilibanwa na kazi basi hii ni hatua mbaya sana na hii huwa na athari sana pale mmoja wa wapenzi anapokuwa na mpenzi mwingine. 2:HASIRA ZA MARA KWA MARA. Hatua hii mpenzi wako huanza kuchukia kila jambo. Utende mema yeye kwake ni baya. Utajiongelesha ni kama unamuongezea hasira. Hapa ndipo watu huwa wanafikia kuchukua hatua ya kujiua wenyewe kisa mpenzi wake amamsaliti. 3:KUZUNGUMZA MANENO YASIYOFAA  MUWAPO PAMOJA Hii ni hatua ambayo inahitaji uvumilivu wa hali ya juu. Mpenzi wako hutamu...

SIFA 5 ZA MKE WA KUOA

SIFA 5 ZA MWANAMKE WA KUOA 🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳🌳 Mwalimu wa Wanandoa Pastor Richard @2021 ✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️ KARIBU VIJANA WA KIUME DARASANI Mstari wa Biblia:Mithali:12:1 Kutoka 31:3 [3]nami nimemjaza roho ya Mungu, katika hekima, na maarifa, na ujuzi, na mambo ya kazi ya kila aina, 1:IMANI Hi ndio huwa nguzo muhimu ya kuagalia mwanamke asiyekuwa na Imani Hawezi Kujenga ndoa atabomoa ndoa haraka uagalie haya a.Awe na Msingi mzuri na Mungu Awe Anampenda Mungu na anasali b:Awe Mtu mwenye msimamo na maamuzi yasiyoyumbishwa na Mtu. 2:MATUMIZI. Mwanamke mwenye matumizi mabaya ya fedha kwenye uchumba unaona TU Mara Ni ninunulie I phone ninunulie nguo Mara hii matumizi ya rafurafu mwanamke mwenye matumizi mabaya ya vitu vyake Pesa hamuwezi kufanya  maendeleo yoyote mkiingia kwenye ndoa. 3: MTAZAMO/ MWENYE UWEZO WA KUBUNI VITU NA KUJISHUGHULISHA Mwanamke mwenye kuona mbali na Mtazamo Mkubwa wa Maendeleo atakushauri nakukufanya mfikie maono Yenu mapema 4:ANAEKUPEND...