Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Desemba 13, 2017

MWANAMAOMBI ZIGATIA HAYA ILI UJIBIWE

✍🏾✍🏾Mambo Yakuvaa moyoni  KWA  Mwanamaombi ili Apambane mapambano yenye kuleta majibu✍🏾🌴👇🏾 Mwanamaombi inatakiwa zigatia haya ndio dirii na siraha yako yakivita. 1;Usizini 2!Samehe  na achilia 3;Soma neno LA MUNGU 4!Ita damu ya Yesu 5!Omba toba naombea toba waliokukosea 6!Mkaribishe Roho Mtakatifu 7! Upende  watu wote bila kuagalia yukoje 8!Mbebe asiyejiweza kuomba 9!Inua Huduma na kuipanda nduniani na kuomba watenda kazi waaminifu 10!Linda madhabahu ya Pale MUNGU alipokuweka 11; Mheshimu MUNGU na Baba yako mlezi hapo Msikilize na kutii kufata Aelekezavyo Yeye 12!Usiwe MTU WA udhaifu 13; Usichoke au kurudi  nyuma ujiugapo na kikundi hiki 14; Tukeshe na Kuomba kila siku Amri zinazotumika 1:Tuma jeshi LA malaika WA vita likiongozwa na mikaeli Natuma natuma malaika WA vita wakashike njia zote za wachawi nafunga njia zao midawa yao....endelea kadiri maneno yajavyo 2!Jiamini Na usiw...

JUA MAMBO MHIMU KABLA UJAINGIA KWENYE NDOA

Picha
SOMO ✍✍_YAJUE YAFATAYO KABLA UNAINGIA KWENYE MAHUSIANO_ 🌴🌴🌴🌴🌴🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲 1. Sherehe ya Harusi ni ya siku moja tu, na Ndoa ni ya maisha yote. 2. Mwanamume/Mwanamke aliyezoea kuchepuka kabla ya Ndoa, ataendelea kuchepuka hata baada ya Ndoa. 3.Upole na ukimya si kiashiria cha tabia njema. 4. Ukikitaka ambacho hakijawahi milikiwa na mtu yeyote, ni lazima ufanye jambo ambalo halijawahi fanywa na mtu yeyote. 5. Mungu akitaka kukubariki hukuletea mtu, na Shetani akitaka kukuangamiza hukuletea mtu. 6. Bora uishi mwenyewe kuliko kuoa ama kuolewa na mtu asiye sahihi. 7. Aina tatu za wanaume wakuepukwa: (a) Walevi (b) Wazinzi (c) Wagomvi. 🌴🌴🌴🌴🌴🐆🐆🐆🐅🐅🐅🐅 Aina tano za wanawake wa kuepukwa;    (a) Walevi    (b) Wazinzi    (c) Wa chawi    (d) Wagomvi    (e) wasio tii 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🐆🌴🌴🌴 8 .Kuolewa na Mchekeshaji hakutakufanya uwe na Ndoa yenye furaha. 9. Maneno matatu yanayojenga a...

JUA MAMBO MHIMU KABLA UJAINGIA KWENYE NDOA

_MHIMU UJUE HAYA KABLA YA NDOA_ 🌴🌴💓💓💓💓 _YAJUE YAFATAYO KABLA UNAINGIA KWENYE MAHUSIANO_ 🌴🌴🌴🌴🌴🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲 1. Sherehe ya Harusi ni ya siku moja tu, na Ndoa ni ya maisha yote. 2. Mwanamume/Mwanamke aliyezoea kuchepuka kabla ya Ndoa, ataendelea kuchepuka hata baada ya Ndoa. 3.Upole na ukimya si kiashiria cha tabia njema. 4. Ukikitaka ambacho hakijawahi milikiwa na mtu yeyote, ni lazima ufanye jambo ambalo halijawahi fanywa na mtu yeyote. 5. Mungu akitaka kukubariki hukuletea mtu, na Shetani akitaka kukuangamiza hukuletea mtu. 6. Bora uishi mwenyewe kuliko kuoa ama kuolewa na mtu asiye sahihi. 7. Aina tatu za wanaume wakuepukwa:6 (a) Walevi (b) Wazinzi (c) Wagomvi. 🌴🌴🌴🌴🌴🐆🐆🐆🐅🐅🐅🐅 Aina tano za wanawake wa kuepukwa;    (a) Walevi    (b) Wazinzi    (c) Wachawi    (d) Wagomvi    (e) wasio tii 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🐆🌴🌴🌴 8 .Kuolewa na Mchekeshaji hakutakufanya uwe na Ndoa yenye furaha. 9. Maneno matatu...