SOMO:NATAKA MUNGU ANIJIBU
SOMO; MIMI NATAKA MUNGU ANIJIBU NIFANYAJE 2021.? Je ulishawahi Kujiuliza Swali Kama Hili Kuwa Nimekuwa nikiona Shuhuda mbalimbali Watu wakitendewa na Mungu Akijibu nikisoma maandiko Naona Mungu alijidhihirisha Kwa viwango vikubwa kwa kina Elia Musa Yesu Na Kina shadrack Na wezake Unafikiri kwanini kwako humuoni Karibu Somo Hili au muongozo wa Kumgusa Bwana Naitwa Bishop Richard Tusome👉🏿👇Luka:8:45-47 👉🏿Yakobo;2;21👉🏿Mwanzo;12👉🏿1Wafalme;18;25-40 MUNGU huwa ananjia au Fomula Yake Ukitaka umguse mpaka nguvu zake azielekeze Kwako huhitaji muda wako na Kujitambua wewe Ni mwanae kwake Mpango na Kusundi lake Ndani Yako Ni Kukubariki nakukuinua Sasa utafikiaje hatua hii ya Kumgusa Bwana nakuinuliwa huwa TUNAITAJI TUMGUSE BWANA NA KUMFANYA TUMFANYE USO WAKE ATAZAME. MAMBO MAWILI TU HUWA CONNECTION YA KUMFANYA MUNGU AJIBU Mfumo huu ulivyo hata Watu Wa Shetani Wanayoconnet mbili tu. A: MADHABAHU 1 wafalme;18;25-37 Madhabahu:- huwa Ni Mahusi...