Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Desemba 11, 2021

SOMO: NGUVU YA KUMLEA MTOTO KATIKA NJIA YENYE FAIDA

SOMO; NGUVU YA KUMLEA MTOTO KATIKA NJIA YENYE FAIDA.   UTANGULIZI Habari Mpendwa Na mfatiliaji wa Website hii ya Moto wa Yesu Kwa Majina Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro veta Dakawa Leo Nataka Tuponyane Kwenye Malezi ya Watoto Wetu Karibu Unifatilie Kwa Utulivu Mwaadaaji wa Somo; Roho Mtakatifu Muwasilishaji Pastor Richard Njia ya Kukufikia www.mchungajirichardi.blogspot.com FB; Kanisa la Moto wa Yesu MAANA YA MALEZI NI NINI? Maana Yake Ni Mchakato na maadalizi ya kumwadalia Mwanao Mazingira mazuri yatakayomfaa kiafya kiakili na makuzi Yake Baada ya kumzaa. UTOFAUTI KATI YA MZAZI NA MLEZI. MZAZI Ni mwenye mtoto aliyemleta duniani lakini Unaweza Ukawa na Nguvu ya Kuzaa ukashindwa Kulea Watoto lakini  wapo

SOMO: AINA ZA MALEZI YA WATOTO

SOMO:AINA ZA MALEZI YA MTOTO Tunakukaribisha Wewe mzazi na mlezi Somo hili likakufungue utengeneze malezi kwa watoto wako yaliyo bora yenye kuleta faida kwa Taifa na Kwa Jamii Naitwa Pastor Richard  Karibuni Wazazi na Wàlezi VITABU REJEA SOMA MITHALI;20:11 MITHALI;22:6 na 15 MITHALI:23:13 na 24 ISAYA;3;5 ISAYA:49:15 EZEKIELI;19:3  WAEFESO:6;1-4 1:MTINDO WA MALEZI YA KIMABAVU ( Authoritarian parenting ) huu ni mtindo wa malezi ambao siku zote wazazi huwa ni wakali. malezi haya huwaacha watoto wao katika majeraha tangu wakiwa wadogo mpaka wanapokuwa watu wazima. Na watoto wanaolelewa kwa mtindo huu wa malezi mara zote wanakuwa hawana upendo kwa wazazi wao wenyewe, kwao wenyewe na hata kwa watu wengine. Mtindo huu ndo unaosababisha kuwepo na majambazi na watu wasio na huruma katika jamii Sifa za wazazi wanaowalea watoto wao kwa mtindo wa malezi ya kimabavu Kuwabebesha watoto mzigo wa kanuni na sheria nyingi. Mtoto anahitaji uhuru katika ukuaji wake, hapaswi kuwa na sheria nyi...

SOMO; Namna Ya Kumlea Mtoto Kibiblia

Picha
UMUHIMU WA MALEZI KWA MTOTO   SEHEMU YA PILI VITU VINAVYOWEZA KUAMUA MWANAO AWE MTU WA AINA GANI WA BAADAE   ANACHOLISHWA AKIWA MTOTO (Anachofundishwa ANACHOSIKIA AKIWA MTOTO KINACHOMZUNGUKA   1.ANACHOLISHWA AKIWA MTOTO (anachofundishwa) Mithali 22:6 Mlee mtoto katika njia impasayo, Naye hataiacha, hata atakapokuwa mzee. Nakusalimu tena katika jina takatifu la Yesu, Nikukaribishe tena katika  mwendelezo wa somo letu ambalo tumejifunza siku chache nyuma linalosomeka kama  UMUHIMU WA MALEZI KWA MTOTO. Ni imani yangu kwamba kila mtu anao wajibu wa kusimama kama mzazi au mlezi kuhakikisha tunapata kizazi kilicho bora kiroho na kimwili,haijalishi mtoto huyo umemzaa mwenyewe ama hukumzaa. Kwenye sehemu ya kwanza ya  somo lililopita nilieleza tofauti kati ya mzazi na mlezi na kwa maana hiyo nisingependa kurudia maelezo hayo nikiwa na imani ya kwamba yalijitosheleza na kila aliyefatilia alipata ...