Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Juni 22, 2018

Somo Pepo ANAYESABABISHA CHUMA ULETE Au ANAYEHARIBU UCHUMI WA WATU

*SOMO :PEPO ANAYESABABISHA CHUMA ULETE Au ANAYEHARIBU UCHUMI WA WATU NAKUTESEKA* 2:Wakoritho.10:3-6 👆🏽👆🏽👆🏽👆🏽👆🏽 Mwalimu: Pastor Richard Morogoro Veta DAKAWA Kanisa la Holy Spirit 👆🏽👆🏽👆🏽👆🏽👆🏽 Simu mtumie Sms Atajibu Akiwa Na Muda unaongea naye +255759861768 Tigo +255710889892 👆🏽👆🏽👆🏽👆🏽 Chuma ULETE Ni Nini? Huwa ni ile hali Mtu anapata Pesa Au Anauza Lakini Haoni Pesa zaidi ya Kuteseka Tu Sio kwamba Hapati Pesa Anapata Lakini Pesa inavyoisha hawezi kujua Hii huwa hali ya mtu Huyu Kufungwa na Pepo Hili linakuwa linachukua Pesa zake Au Mchawi anakuwa anatuma Pepo linachukua Au Mtu anakuja anachukua usimujue 👆🏽👆...

Dalili za Mtu Aliyefungwa Nafsi yake soma

*DALILI ZA ALIYEFUNGWA NAFSI* Hii huwa kazi za wachawi Kukutesa Hivi Basi Ni Vyema kusoma hapa ukaelewa Dalili zake 1: Kuota Ndoto za kukimbizwa Kutisha Kifo Kuawa. 2:Kuwasha mwili kunuka mwili kutoa harufu Isiyotokana na usafi Mtu hata ajisunguaje Bado harufu hiyo 3:KUELEMEWA na Magonjwa ya Ajabu ajabu 4:Kutembea Unakuwa unaona Kama si Wewe mwili wako KAMA UNAHIZI DALILI Fika Morogoro Veta DAKAWA mwenzi Wa Nane Utakaa siku 4 Kula utajitengemea kipindi chote uwapo hapo kwa Pastor Richard Pakulala usihagaike juu ya Huduma hii Pinga Simu YA Pastor Richard +255759861768 Kutoka Morogoro Veta DAKAWA

Somo AGANO LA UCHUMBA

[5/1, 22:38] ‪+255 755 553 249‬: Amen Mtumishi [5/1, 22:43] 🙏🏽Holy 🙏🏽Spirit 🙏🏽Ministry 🙏🏽: *SOMO: AGANO LA UCHUMBA* *Mwanzo: 2:24* 👆🏽👆🏽👆🏽👇🏽👇🏽👇🏽 KATIKA Uchumba Au Mtu anapoanzisha Uchumba Ili Uchumba wake uwe wa Kufikia Malengo Huwa Anatakiwa Bint Na Kijana watambue Kwanini wameanzisha Uchumba baina yake Na Mwandani wake Kisha waamue Kufata na Kuzingatia Maangano Au Kuwekeana Agano La Uchumba Ambalo huzingatia Mambo YAFATAYO 👇🏽👇🏽👇🏽 *KUNA AGANO LA UCHUMBA* 1: *KUTAMBULISHANA  KWA MARAFIKI* 👂🏼👂🏼Hii itamfanya Mwenzi wako atambue Mengi Maana Pale Unapowaeleza marafiki na kuyaweka wazi Humfanya Yule umpendaye Atambue Popote Alipo...