SOMO: SAUTI
SOMO : SAUTI UNAYOISIKIA NI YA NANI NDANI YAKO _____________________________________________________ _____________________________________________________ Tufunue Vitabu: Hesabu:7:89 Kumb.Torati:1:45👉5:22-30 1wafalme:19:12-14👉Kutoka:4;1-8👉Isaya:40:1-10 Huwa Kuna Sauti Nyigi Ambazo Unaweza Kusikia Ndani Yako na Katika Mazingira lakini inatengemea wewe Sauti Ipi Unaifata Kati Ya Hizo Maana Zingine Zitakukumbusha maovu yako Zigine Hazitakuwa na maana utasikia Sauti Zigine Zitakuogoza Usipotee Zigine Hazitakuwa na Maelekezo Zigine zitakupotosha Zigine Zitakuamuru Usiende Kanisani. Kuna Sauti Moja TU Yenye FAIDA Kwako nayo Ni Sauti Ya MUNGU. Ili Uweze Kuelewa Sauti Ya MUNGU Unapaswa utulie Sababu Sauti ya Mungu huhitaji Utulivu Unapoisikia Sauti Inayokuamrisha Utende kitu Chochote Kwa Amri ndani Yako Ujue Ni Shetani na Puuza Sauti inayotaka ikuendeshe. SAUTI HUWA NDIYO INAMUOGOZA MTU KUTENDA CHOCHOTE ATAKACHO SAUTI YOYOTE ITAKAYO KUWA INAKUAMRISH...