Maombi ya kuvunja agano la kitovu
.SOMO:MAOMBI YA KUVUNJA AGANO LA KiTOVU Kuna maagano hufanywa katika ulimwengu wa roho hasa unapozaliwa wapo watu wanateseka Leo kuumwa matumbo kumbe chanzo ni Agano la kitovu ambalo lilifanywa Pasipo wewe kujua. Mstari wa kusimamia 2 WAKORITHO:10:3-6 1;Yesu Kristo Mnazareti ninakuja mbele zako siku ya leo ninavunja kila agano lililosimama kinyume na wewe katika Maisha yangu,liniachie Leo kwa Jina la Yesu.Amen 2.Kila agano la ndoa lililofanyika kwenye ndoto nilipovishwa pete nalivunja,pete hiyo naichoma kwa moto wa Roho Mtakatifu.Agano hilo la ndoa limekosesha ndoa yangu amani,limefanya nisipate mwenzi sahihi,Kwa uhalali wa Damu ya Yesu nalivunja Leo .Amen 3.Kila agano lililosimama katika Maisha yangu Kupitia viungo vyangu vya mwili au chochote changu kilicho pelekwa kwenye nyumba za waganga.Iwe ni kitovu changu,unywele wangu wa kwanza ulionyolewa nilipokuwa mchanga,iwe Ni kucha zangu,nguo zangu,kalamu yangu,mchan...