NDOTO 20 ZA SHULENI TU MAZINGIRA Ya SHULE
NDOTO ZA SHULENI ZIJUE MAANA YAKE. AYUBU:33;14-15 Mathayo:2:12-13 Matendo:2;17 Mwanzo:41:1-32 NDOTO✍️Ni Taarifa inayomlenga muotaji Ikimjulisha Yaliyopo Katika maisha Yake au Yanayokuja Katika Maisha Yake au Yalishapita Katika maisha Yake. NDOTO Huoparetiwa au Kuendeshwa Na Mungu mwenyewe au Shetani Hawa hukufanya uote mtu asiyeota ndoto au Kukosa Maono hawezi Kufika Anakoenda au hawezi kuijua njia.✍️ Masomo haya yapo WhatsApp+255759861768 Youtube✍️https://youtu.be/0z6oPMGtVyY ✍️ Ukiigia Subscribe Utakuwa umejiuga YouTube ✍️✍️Pia Website: www.mchungajirichardi.blogspot.com KARIBUNI TUJUE MAANA YA NDOTO ZA SHULENI. 1:Ukiota Upo mazingira ya shule msingi na Unifom✍️ Unajulishwa Umefungwa Usifanikiwe waitajika uombe kukemea 2:Ukiota Upo shuleni unamwagilia mimea✍️ Unajulishwa Watu Utakuwa unawafanya wanafanikiwa kwa ulicho nacho wewe hutafanikiwa. 3;Ukiota Upo Palendi(Mstarini...