SOMO;FIKIRIA KABLA HUJAAMUA
✍️✍️🙄✍️✍️✍️SOMO: UNATESEKA KWA KUWA UNAFANYA VITU BILA KUFIKIRIA ANZA KUFIKIRI LEO. Tufunue Biblia Zetu Tusome Vitabu hivi 👉👉 2Samweli;14:10_25 AYUBU;34:20_30 👉👉👉 UTANGULIZI ✍️✍️ Shaloom Watoto Wa Mungu Nikipindi Cha Neno la Mungu katika ROHO MTAKATIFU Linalokuponya nakukufungua Jitaidi Tu Kuliishi Neno la Mungu Nawe hautateseka Tena ✍️✍️✍️Kuna watu muda huu wanapitia maumivu makali wanapitia maisha magumu wanateseka kwa kuwa walifanya vitu vyao bila kukaa chini wakatuliza akili zao kufikiria wanachoenda kukifanya Wakakurupuka tu kwakuwa wamekaa muda mrefu na uhitaji huo. Tunamuona mfalme Aliyekuwa mtawala lakini alikuwa Anapenda kufanya Maamuzi bila kufikiria 2Samweli;14;10...... Pia Tunafanya Maamuzi bila kujua Mungu Yupo kukangua nakutuangalia Sisi watoto wake Nini Tunafanya mienendo yetu Tunatenda mien...