SOMO;KAZI ZA MZEE WA KANISA
SOMO; MAJUKUMU YA MZEE WA KANISA NDANI YA KANISA. 1:Walio na uwezo Wenye kumcha Mungu 2:Watu wa kweli / si wenye ndimi mbili 3:Wenye kuchukia mapato ya udhalimu 4;Wenye kujawa Roho wa Mungu 5;Wenye kujali na kutunza familia zao /mahusiano mema katika familia 6;Wenye kushuhudiwa mema na watu walio njeWatu wasiolaumika 7;Wenye kiasi na busara/hekima Wenye kujali/kufuata utaratibu 8;Si watu wa kujadiliana(:: si watu wa kubishana) 9;Wasiwe wepesi wa hasira 10;Wasiwe watu wa kujipendekeza nafsi zao 11;Walio kielelezo kwa maneno mema na matendo mema, usafi, imani, na upendo. {Kut.18:21; Mdo.6:3; 1Tim.3:1-13; 4:12-16; Tito 1:5-11; 2:1, 7,8} MZEE WA KANISA (::: Mwangalizi wa Kanisa) Ni daraja lenye madaraka makubwa. 👉👉Mzee wa Kanisa Apaswa awe :1.Aliyejitoa kikamilifu kwa Kristo. 👉🏿“Huwezi kuwa na mvuto utakaowabadilisha ...