Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Desemba 8, 2017

JITAMBUE MZALIWA WA NGAPI UMEBEBA NINI

SOMO: JITAMBUE WEWE MZALIWA WA NGAPI NA THAMANI.. Kila mtoto huwa anakitu ambacho Mungu Alimwandalia Toka Tumboni  Mwa Mama Yake katika somo hili utaelewa talanta ulionayo toka utotoni. Naitwa Pastor Richard Wa Morogoro                     KA RIBU Kumb 33:1-9, Mwanzo 49:3-7; 1Kor 2:10 Kila mwanadamu aliyeumbwa na Mungu Aliye Hai, ameumbwa na nguvu maalumu kutoka mbinguni, ambayo ni mtaji wake maalumu; kiroho, kijamii na kiuchumi. Mwanzo 49:3 Reubeni u mzaliwa wangu wa kwanza,nguvu zangu na malimbuko ya uwezo wangu. Umewapita wengine kwa ukuu na nguvu. 1. MZALIWA WA KWANZA KATIKA FAMILIA YOYOTE* i. Amebeba nguvu nyingi za familia. ii. Amebeba Baraka za aina mbalimbali za wadogo zake. iii. Amebeba nguvu ya upendo ndani ya familia. iv. Mzaliwa wa k1wanza ni lango, Zab 24:7-9, ambapo Baraka zote za familia kutoka mbinguni zinapitia kwake na kuwafikia wadogo zake wote. v. Amebeba ustawi wa familia kiroho na kimwili. 2:MT...

UBATIZO UNAOTAKIWA NI HUU

✍🏾✍🏾KWA HABARI YA UBATIZO ULIOAMRIWA NA YESU Mnazareth✍🏾✍🏾 Mch. Richard Kutoka MOROGORO VETA DAKAWA Utangulizi↘ Ufafanuzi Kuhusu kuzaliwa kwa maji mistari. 3!6 "kilochozaliwa kwa mwili ni mwili kilochozaliwa kwa Roho ni Roho. Roho ni Roho na mambo yake huenda kiroho ni Mwili ni mwili na Mambo yake huenda kimwili MAANA YA MANENO HAYA. 1!Maji=Mafundisho ya neno         2!Roho=Katika Roho Mtakatifu 3;Kuzaliwa=Kuwatoa kwenye fikira za kale damu na nyama nakuwaleta katika fikira za Rohoni.(kilochozaliwa kiroho ni Roho. 4;Kubatizwa; Kuwahubiria/Kuwashawishi watu 5;Wanafunzi; wafuasi WA Yesu mnazareth. ☝🏽☝🏽UTofauti ya watu walienda na Maandiko katika mwili nakujikuta Roho bado ikawa inapoteaa mkristo unamkuta kanisani yumo uchawi yeye ulevi yeye Uzinzi yeye kwakuwa Yupo kimwili Anaongozwa kimwili. Yohana.3;1-10 Utabiri WA Yohana kuhusu Ubatizo WA Roho Mta...

MAFUNDISHO YA WACHUNGAJI

🔥🔥Mafundisho Ya Wachungaji🔥🔥 Njisi ya kumkomboa MTU ateswaye na Vifungo vifatavyo .1;,Haolewi/Haoi /Anayeumizwa 2;Mwenye majini/Mapepo/uchawi/uganga/ ☝🏽☝🏽Tahadi Kwanza Umjenge kiimani na kumfundisha neno. ☝🏽☝🏽Mwondoe hofu nawe ondoa  maswali sijui atapona au sijui atafunguliwa nk 🔥🔥Hatua zakumuwashia fire🔥🔥 ✍🏾 Jiamini ✍🏾Tafuta mistari Wenye nguvu ✍🏾Ita damu ya Yesu ✍🏾Tamka kwa Amri sauti iliyokaza sio kulegeza ✍🏾Jina taja Yesu mnazareth ✍🏾Usiwe na hofu ✍🏾Ukiona korofi likate mikono/miguu Halafu charaza fimbo za Yesu mnazareth rukisha kichurachura Harafu liamru litoke lisirud ✍🏾Tambua wewe ni Mchungaji wangu kama njisi nilivyo  na umoja Mimi na Baba yangu Tabua hata wewe Amekushika 🖐🏼🖐🏼M...

SOMA UNAJUA KWANINI HUJIBIWI HATA KUBADILISHWA KIROHO NA KIMWILI

SOMO🎤🎤Ijue Madhabahu ilivyo na Majibu yako ukisimama Nayo ✍️✍️Leo Tunataka Tujifunze Madhabahu Njisi ilivyo na nguvu ya KUKUFANYA upokee majibu au Usipokee Tufunue Biblia Zetu Tusome Vitabu hivi 👉👉1wafalme;18;25-32✍️Kutoka:20;26, 24:4,29;37 Mathayo;5;20_26                  ✍️✍️✍️ UTANGULIZI ✍️✍️✍️ Madhabahu huwa Ni Mahusiano yanayompatia uhalali mtu wa Kupokea au Asipokee kumtambulisha mtu Anamuwakilisha Mungu au Shetani Pia Madhabahu huwa Ni Kitu kilichomo ndani ya Mtu Yenye uwezo wa Kutenda vitu kwa wakati na kwa watu husika wanaoendana Pamoja na ile Madhabahu Mchungaji Kama Hana Madhabahu inayoongea kwa Habari ya Tatizo lako hata akuombee vipi huwezi kufunguliwa mpaka ukutane na Madhabahu yako itabadili historia Tusome hadhi hii 1 wafalme 18 Tumuone Mtum...

MAOMBI YAKUJENGA MADHABAHU WEWE NA MUNGU ALIYE HAI

🎤✍🏾MAombi YA Madhabahu kuujenga wewe na Mungu✍🏾🎤 Madhabahu huwa nini? Ni mahusiano unayojenga baina yako na MUNGU Madhabahu humtambua MTU kwa 1;imani 2;Dhabihu sadaka 3;Mahali alipopewa Baba WA kiroho Amlee ✍🏾✍🏾Madhabahu hujengwa ndani ya MTU na ukiona upo kanisani miaka yote hubadiriki kiroho au kimwili maisha yako hata maombi huwezi nk. ✍🏾✍🏾Ujue Hiyo Madhabahu sio mahali alipokuandalia kupokea majibu au Mabadiliko yako. ✍🏾🎤Madhabahu hujengwa ndani ya MTU katika kuweka mahusiano mazuri ya pale Anapokuwa MUNGU amemuweka alelewe vitu 1:Imani 2!sadaka 3;Maombi Akifanya haya anatoa zaka halafu hapokei au hainuliwi kiroho ujue ile madhabahu haineni juu Yake kaa Umuombe MUNGU Roho Mtakatifu atakushuhudia utakaposimama Kwa muda mfupi ukaona mabadiliko ya kiroho basi tulia hiyo Madhabahu ndio inakutambua tulia na Huyo mch. Kuwa mmoja watoto wake toa zaka sadak...

LAANA NA BARAKA HUKUPATAJE

.    🍇🍇SOMO;✍🏾Laana na Baraka ndani Ya Watoto WA MUNGU🍇🍇🐑🐑 👉🏼👉🏼Miongozo ya Biblia Tusome: Kumb.11;26-27        mithali.3;33         Walawi.3;65         Joshua.8;34          Yakobo. 3;10 Soma mstari huu👇🏾👇🏾 Wagalatia:3:13 Galatians 3:13 [13]Christ hath redeemed us from the curse of the law, being made a curse for us: for it is written, Cursed is every one that hangeth on a tree: Kristo alitukomboa katika laana ya torati, kwa kuwa alifanywa laana kwa ajili yetu; maana imeandikwa, Amelaaniwa kila mtu aangikwaye juu ya mti; ☝🏽☝🏽Ufafanuzi katika mambo haya Mawili⛪⛪ 1⃣;-LAANA ni nini? Laana ni hari inayompata MTU ya kupigana na mfumo au Maisha Yake kujawa na ...

SOMO:NDOA

✍️✍️SOMO; NDOA Mwanzo;2:20-24 Mithali;14;1-3 Mithali;7;7-10 ✍️✍️DARASA LA WANANDOA ✍️✍️ MWALIMU WA WANANDOA ✍️✍️Nipo Morogoro Veta Dakawa Habari za muda huu....ndugu jamaa na marafiki....bila shaka sote tu wazima na wa afya njema....wenye maradhi Mungu muweza awajaalie uzima.....na afya.... Bila ya shaka kila mmoja amekuwa akijiuliza swali hili na kila mmoja amekuwa na tafsiri yake kwa namna anavyoona yeye kwenye ulimwengu wake....... NDOA tafsiri yake ni..... Muunganiko wa nyoyo mbili zilizopendana kwa dhati....na kuamua kuishi pamoja katika kipindi chote cha maisha yao....wakilifurahia pendo lao...... Kwa maana hiyo NDOA ni tukio lenye furaha na kuishi ndani ya ndoa....ni jambo la furaha....na kutumia kipindi chote cha maisha yako...na yule ambaye ni chaguo la moyo wako....ni jambo la furaha na lenye kusisimua zaidi..... Lakini vile vile kuishi na mtu hata kama nyoyo zenu ...

SIRI ILIYO WEKWA NA MUNGU NDANI YA UJANA

⛪⛪Somo: SIRI Iliyowekwa na MUNGU ndani ya Ujana wako👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾 Maombolezo:3;27 ✍🏾✍🏾Kijana kwa Hapa Tanzania katika sheria au utaratibu WA kumtabua katika katiba inasema  kijana Anaanzia miaka 18 mpaka 49 Miaka 50 huyu ni MZEE mpaka 100 Kijana inamtambua sheria kuwa ndio mwenye nguvu ya Kuifanya nchi yetu isonge mbele kimaendeleo na kukua kiuchumi nk Ni kijana inamuelezea na kumpa umhimu na sifa zake Lakini inamtaja kuwa ndio nguvu kazi ya Taifa LA Tanzania Kwa hiyo ili ujana wake uwe na faida lazima Afanye mambo matatu katika nchi Yake 1⃣-Ajishughulishe kwa njia halali tena kwa jasho lake anapojishughulisha  Anaingiza kipato kwenye mfuko WA Taifa. Hali itakayoifanya nchi Kupiga hatua ya kiuchumi. 2⃣-Atii na kufata mamlaka au Utaratibu WA nchi Yake pasipo kuvunja sheria za nchi. Hali itakayomfanya awe mzalendo na Nchi Yake Na mamlaka ...