Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Januari 25, 2016

SOMO. MSAMAHA YER.31-34 KOLOSAI.3:13 MATH.6:14-15 ZABURI.86-5

 SOMO:NGUVU  YA KUSAMEHE    MSAMAHA NI NINI? NI kufuta na kusahau makosa uliowahi  kukosea au kukosewa. KUNA  SEHEMU KUU MBILI ZA MSAMAHA . 1-MSAMAHA WA BINADAMU KWA BINADAMU 2*MSAMAHA  WA MUNGU NA BINADAMU MSAMAHA WA BINADAMU NA BINADAMU. mathayo.6:14-15 ni hatua ya kuwafutia watuakosa yao waliowahi kukukosea na kusahau kabisa. KWANINI USAMEHE UNAMBIWA HATA KAMA MTU AMEKUUMIZAJE. 1"ukisamehe unafunguliwa vifungo vyako vya kukosa amani. 2"unapata amani katika moyo. 3"mungu anakuona mtoto msikivu unafata anavyokuamuru. 4"unapewa roho yakusamehe wengne. 5"upendo unatawala. NINI KITATOKEA USIPO SAMEHE NI LAZIMA ITOKEE 1:hautasamehewa makosa yako yote. 2"hautayashinda matatizo itakuewa kila siku nafuu ya kesho. 3*watumishi watakuombea sana mungu hatajibu hitaji lako. 4"moyo unakosa amani 5*ጠapito yakuzidi kila tatozo  mungu analirusu. HULAZIMISHWI KUSAMEHE MAYHAYO 6;14-15 MSAMAHA WA MUNGU NA BINADAMU ZABURI.86-...

SOMO. SAFARI YA MWANADAMU MITHALI.25:28 1WAKORITHO.7-5

.poሰደSAFARI NI NINI? ni hatua anazokuwa nazo mtu za kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyigine. SAFARI ZIMENGAWANYIKA SEHEMU KUU MBILI 1"$AFARI YA KIROHO 2"$AFARI YA KIMWILI. SAFARI YA KIROHO ( MWANZO.2-3 UFUNUO.4-8 ni safari inayoanzwa na mtu pale tu anapookoka na kumkiri kristo kuwa ni BWANA. SAFARI HII HUGAWANYIKA SEHEMU KUU TATU    1"WÕKÕVU     2"KUÕKOKA     3"KUKOMBOLEWA WOKOVU"ሰተ ዘatua inayomfanya mtu awe na uhakika yeye yupo ameandikwa katika orodha ya watakatifu wa bwana. wakolosai.1-13 ATAJUAJE KUWA YEYE AMEANDIKWA KATIKA WATAKATIFU WA BWANA 1"matendo yake yatamshundia 2"ሸa roho atamjulisha. 3"atabadilika tabia yake na kumpenda mungu sana. 4"hatasukumwa kufanya kazi ya mungu. 5"watu watamsema vizuri na atakuwa na moyo wa kipekee. KUOKOKA" ሰተ ጠaisha mapya ya kuamua kutembea katika njia ya mungu. yohana.1:12 yohana.10-10 UTAMJUAJE MTU AMEOKOKA 1"atabadilika njia zake za uovu...