Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Desemba 24, 2022

SOMO:HATUWEZI KUTIMIZA WITO

SOMO; KIONGOZI BORA KATIKA KAZI YA MUNGU.          《☆UTANGULIZI ☆》 Naotwa: Bishop Richard  Nipo Morogoro Veta  WhatsApp +255759861768 Karibuni Katika Somo hili Linalenga Uongozi ndani ya Kanisa la Kristo Ili Kulijenga Kanisa Katika Misingi bora ya uongozi Mungu ameweka ujumbe huu ili ujifunze Fatana nami katika Somo hili mpaka mwisho......... Kiongozi Bora= Ni Mtu Aliyeitwa  na Mungu  ili kuwafanya  au Kushawishi watu wa Mungu Kulitimiza Kusudi la Mungu  Kimungu na Kwa  Wakati wa Mungu. Ubora wa kiongozi katika kazi ya Mungu upo kwenye yafatayo; a)Mwitaji =Kujua aliyekuita na kwanini akuite wewe kati ya watu wengi. b)Mtu aliyeitwa= Kujitambua kama wewe ndiye uliyeitwa  kati yao walio wengi.  c)Ushawishi wako=Unanguvu ngani ya kushawishi watu na unakubalika kwa watu wako au hawakukubali lazima ukubalike kwa unaowatumikia. d)Namna Ya Kulitimiza Kusudi uliloitiwa=Ni vyema uweke mikakati ya malengo kulitimiza kusudi lako ...