Somo; JIFUNZE MAOMBI YA VITA vya KIROHO
✍🏾✍🏾SOMO; JIFUNZE MAOMBI YA VITA✍🏾 1wafalme;8;45-54 2wafalme:20:5 2Nyakati:7;15 Karibu Mwanangu Naitwa Pastor Richard Naekuwasilishia SoMo Hili Lengo la SoMo Ujue hatua na unavyotakiwa uombe kupambana Vita katika ulimwengu wa roho Hali itakayokufanya ujinasue katika ulimwengu wa Vita vinavyokukabili kiroho. Mambo Ya KUZINGATIA katika Maombi ya Vita 1;Uwe Tayari mwili wako na Akili yako Kuelekea vita ya kiroho 2:Usiwe umechokachoka au unaomba huku Upo nje ya eneo la Vita akili yako itulie. Hatua za kufata Kabla yakuanza Maombi ya Vita; 1;Omba utakaso na Kujitakasa kwanza 2;Omba roho wa Maombi ya Vita aingie aiongoze Vita Mfano karibu roho wa Maombi ya Vita karibu unifundishe kuomba karibu unitawale karibu karibu 3:Omba Kujifunika mawazo akili maneno yako nk kwa Damu ya Yesu 4;Kiri ujitangaze katika ufalme wa ngiza na Anga la eneo ulipo kuwa Mimi Richard Ni Moto Tena sikia falme za majini ya kike na ya Kiume wachawi n...