Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Desemba 7, 2017

MME/MKE WA SHEETANI ANAVYOKUWA SIFA ZAKE

✍🏾🌳🌳Yajue ndoa/Mahusiano ya shetani Au MTU aliyepewa mke/Mme na shetani Huwa ndoa mahusiano yanakuwa Hivi Soma ujue✍🏾🌳🌳 Muongozo WA Biblia Tunasoma⛪⛪Mwanzo:3;1-9 Katika watoto wengi WA MUNGU wamepokea wachumba  ndoa zilizopangwa na shetani pasipo kuelewa nao wamenaswa katika mitengo hiyo Na shetani saivi Amejinafasi katika maisha yao Baadala Ya MUNGU wetu kushika ndoa zao zimeingiliwa na shetani kwakuwa tu walichangua imladi tu waoane Haya ndio yanakujulisha ndoa uliyonayo si MUNGU Mwanzo;2!24 1⃣-Huwa ni watu wasiovumiliana madhaifu yao hawa watu. 2⃣-Huwa ni watu wasioshirikishana  kila mmoja anafanya Yake na mipango Yake. Hawa watu huwa wanasifa hii. 3⃣-Ndani hutawala chuki ugomvi mabishano ndoa hii Haina Amani. 4⃣-Wakipishana kauli tu huwa ni ugomvi hawajui kusameheana au kuombana msamaha 5⃣-Huwa ni watu wanaopishana Imani wanaopishana MUNGU wanaemwabudu mwingine An...

BAADA KUKOMBOLEWA UNATAKIWA UTUZE MUUJIZA WAKO

✍🏾✍🏾Somo; Njisi Ya kutuza Uthamani WA Utoto WA MUNGU na Kusimama katika MAOMBI Mwenyewe✍🏾✍🏾👇🏾👇🏾 Waefeso;6;11 "vaeni silaha zote za MUNGU mpate Kuweza  kuzipiga hila za shetani. 1⃣☝🏽-Lazima Tuwe Na Imani isiyo na MASHAKA mbele za MUNGU.tusikate Tamaa Au kuona MUNGU Amechelewa katika Yale Tumuombayo Tusimame naye tena kwa akili zetu Mali zetu elimu zetu kuujenga ufalme wake Tukimsifu na kuitoa  miili yetu kwa ajili Yake. 2⃣ Warumi;1;17' " Kwa maana haki  ya MUNGU inadhihirishwa ndani Yake toka Imani Hadi imani. ✅Hakuna kitu kitakachoturudisha  nyuma au kutuvunja moyo -Hakuna Pepo mizimu Maroho Tutakaposimama naye imara tutakuwa mawakili wazuri WA Imani Yake naye hatatuacha sisi. Tunatakiwa tushukuru kila jambo watoto WA MUNGU tuache malalamiko manug.uniko yanatukosesha tusijibiwe au msipokee Mimi napowaombea Shetani  huwa zake Anajiinuaga ...

KUTOKA KWENYE MADENI KARIBU USIMAME NA MAFUNDISHO HAYA

🌴🌲🌲Somo; Kwanini Unateswa na Madeni🌲🌴🌴 🌳🌳Kumb.Torati; 15;4-6🌳 ❓❓Hivi ulishawahi kujiuliza toka lini mtoto WA mfalme anaweza kwenda kukopa au akadaiwa wakati Yeye ndio baba Yake mwenye  pesa mpaka basi. ⁉sasa wewe kwanini unadaiwa ✔Dawa ya Deni si kulipa na kitu kipi kukufanya ushindwe kulipa madeni mpaka Leo mtaani mpaka wamekupachika jina‼‼kwanini unauaibisha ufalme WA MUNGU kwanini Uongozwe na Roho ya tamaa ya kukopa halafu Umekopa Fanya kitu basi ndio hata kununua masufuria umeshindwa❗❗❗Acha kuyatukuza madeni unaibisha sifa ya watoto WA MUNGU. ❣💔Acha nikufugue hapo kwenye madeni utoke Bwana tena usirudi kujifugia NIRA ya madeni Unadaiwa na MUNGU mpaka na wanadamu 💗💓💓 🛑Haya zigatia uyatekeleze utayashida madeni🛑 🌳-1: Futa Hofu Hofu ukiifuta itakupa kujiamini kuyakabili madeni yako...

MAFUNDISHO YA WANANDOA

✍🏾✍🏾Ujumbe kwako✍🏾✍🏾 💝Mafundisho Ya MAHUSIANO💝💝WANANDOA👇🏾👇🏾 ✍🏾👇🏾Bwana Yesu Apewe Sifa Wapenzi KATIKA Kristo Ni Mimi mtumwa WA kristo  YESU mnazareth Pastor Richard Nikiwa na nanyi Katika Roho Mtakatifu Nimekuwa  wakili mwema Toka nilipo toka kwenu Huko Nimesimama Nikiihubiri injili katika nafasi aliyoniita nisimamie  sikutaka KUKAA  Bila kuwakumbusha Juu Ya njia zenu zilizo  kuwa zimepotezwa na Wanadamu. ✍🏾✍🏾Kwa Habari Ya kuoa/Kuolewa✍🏾✍🏾 Ndugu zangu Kama MTU Anaona Hawezi  kuishi peke Yake ni vyema aolewe/Owe 1⃣Kama Moyo wako umejeruhiwa kwa ajili Ya Mahusiano ni vyema MTU huyo Asimame na wokovu Ukiwa ndani yake hataumia tena Ole wake yule Wa kwenu ndugu Yenu mlioijua kweli wote bado mkaendelea kupotoshana mwanamke na mwanaume wote mtakuwa wakosaji ...

Mambo Yakuzigatia katika MAOMBI

✍🏾✍🏾Mambo Yakuvaa moyoni  KWA  Mwanamaombi ili Apambane mapambano yenye kuleta majibu✍🏾🌴👇🏾 Mwanamaombi inatakiwa zigatia haya ndio dirii na siraha yako yakivita. 1;Usizini 2!Samehe  na achilia 3;Soma neno LA MUNGU 4!Ita damu ya Yesu 5!Omba toba naombea toba waliokukosea 6!Mkaribishe Roho Mtakatifu 7! Upende  watu wote bila kuagalia yukoje 8!Mbebe asiyejiweza kuomba 9!Inua Huduma na kuipanda nduniani na kuomba watenda kazi waaminifu 10!Linda madhabahu ya Pale MUNGU alipokuweka 11; Mheshimu MUNGU na Baba yako mlezi hapo Msikilize na kutii kufata Aelekezavyo Yeye 12!Usiwe MTU WA udhaifu 13; Usichoke au kurudi  nyuma ujiugapo na kikundi hiki 14; Tukeshe na Kuomba kila siku Amri zinazotumika 1:Tuma jeshi LA malaika WA vita likiongozwa na mikaeli Natuma natuma malaika WA vita wakashike njia zote za wachawi nafunga njia zao midawa yao....endelea kadiri maneno yajavyo 2!Jiamini Na usiw...