MME/MKE WA SHEETANI ANAVYOKUWA SIFA ZAKE
✍🏾🌳🌳Yajue ndoa/Mahusiano ya shetani Au MTU aliyepewa mke/Mme na shetani Huwa ndoa mahusiano yanakuwa Hivi Soma ujue✍🏾🌳🌳 Muongozo WA Biblia Tunasoma⛪⛪Mwanzo:3;1-9 Katika watoto wengi WA MUNGU wamepokea wachumba ndoa zilizopangwa na shetani pasipo kuelewa nao wamenaswa katika mitengo hiyo Na shetani saivi Amejinafasi katika maisha yao Baadala Ya MUNGU wetu kushika ndoa zao zimeingiliwa na shetani kwakuwa tu walichangua imladi tu waoane Haya ndio yanakujulisha ndoa uliyonayo si MUNGU Mwanzo;2!24 1⃣-Huwa ni watu wasiovumiliana madhaifu yao hawa watu. 2⃣-Huwa ni watu wasioshirikishana kila mmoja anafanya Yake na mipango Yake. Hawa watu huwa wanasifa hii. 3⃣-Ndani hutawala chuki ugomvi mabishano ndoa hii Haina Amani. 4⃣-Wakipishana kauli tu huwa ni ugomvi hawajui kusameheana au kuombana msamaha 5⃣-Huwa ni watu wanaopishana Imani wanaopishana MUNGU wanaemwabudu mwingine An...