✍🏾🌳SOMO; NGUVU YA MSAMAHA 🌳🌳✍🏾
✍🏾🌳SOMO; NGUVU YA MSAMAHA 🌳🌳✍🏾 Vitabu Tufunue Tusome Marko:3;29 Matendo;5;31 Daniel;9;5_10 Zaburi;130:1_6 UTANGULIZI; Kuna Mtu Ambaye Anaweza akawa Anateseka Kisa moyo wake hajui kusamehe na hajui madhara ngani Ambayo Anayapata asippsamehe mpaka mwingine SoMo Hili Limemwinjia majibu Yake kayazuia Mungu asimjibu kisa Msamaha Leo Nataka Kumponya Mtu wa hivi ili Akashuhudie Hakuna Kukaa Unasoma Shuhuda za wengine Lazima hiyo kamba iliyokufunga inayozuia muujiza wako INAYOKUFAnya ukosane Na Mungu Kila siku umebebelea mafurushi ya mizingo ambayo uwezo wako huwezi lakini ndio umekuwa mtaa mzima wanakujua husamehi wengine Kila ukikosana mchumba wako mmeo mkeo bos wako hujawasamehe Ndio chazo hupati Tena kazi kwingine Mungu unamuomna kanyamaza ,,,,,,,, Endeleaa Upone Ufunguliwe usijifunge Tena Naitwa Pastor Richard Naishi Morogoro Tanzania Ni Askofu na mwanzilishi wa ya Huduma ya Roho Mtakatifu yaani Holy Spirit Ministry Yenye ...