Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Februari 24, 2020

✍🏾🌳SOMO; NGUVU YA MSAMAHA 🌳🌳✍🏾

✍🏾🌳SOMO; NGUVU YA MSAMAHA 🌳🌳✍🏾 Vitabu Tufunue Tusome Marko:3;29 Matendo;5;31 Daniel;9;5_10 Zaburi;130:1_6 UTANGULIZI; Kuna Mtu Ambaye Anaweza akawa Anateseka Kisa moyo wake hajui kusamehe na hajui madhara ngani Ambayo Anayapata asippsamehe mpaka mwingine SoMo Hili Limemwinjia majibu Yake kayazuia Mungu asimjibu kisa Msamaha Leo Nataka Kumponya Mtu wa hivi ili Akashuhudie Hakuna Kukaa Unasoma Shuhuda za wengine Lazima hiyo kamba iliyokufunga inayozuia muujiza wako INAYOKUFAnya ukosane Na Mungu Kila siku umebebelea mafurushi ya mizingo ambayo uwezo wako huwezi lakini ndio umekuwa mtaa mzima wanakujua husamehi wengine Kila ukikosana mchumba wako mmeo mkeo bos wako hujawasamehe Ndio chazo hupati Tena kazi kwingine Mungu unamuomna kanyamaza ,,,,,,,, Endeleaa Upone Ufunguliwe usijifunge Tena Naitwa Pastor Richard Naishi Morogoro Tanzania Ni Askofu na mwanzilishi wa ya Huduma ya Roho Mtakatifu yaani Holy Spirit Ministry Yenye ...

✍🏾🌳SOMO; NGUVU YA MSAMAHA 🌳🌳✍🏾

✍🏾🌳SOMO; NGUVU YA MSAMAHA 🌳🌳✍🏾 Vitabu Tufunue Tusome Marko:3;29 Matendo;5;31 Daniel;9;5_10 Zaburi;130:1_6 UTANGULIZI; Kuna Mtu Ambaye Anaweza akawa Anateseka Kisa moyo wake hajui kusamehe na hajui madhara ngani Ambayo Anayapata asippsamehe mpaka mwingine SoMo Hili Limemwinjia majibu Yake kayazuia Mungu asimjibu kisa Msamaha Leo Nataka Kumponya Mtu wa hivi ili Akashuhudie Hakuna Kukaa Unasoma Shuhuda za wengine Lazima hiyo kamba iliyokufunga inayozuia muujiza wako INAYOKUFAnya ukosane Na Mungu Kila siku umebebelea mafurushi ya mizingo ambayo uwezo wako huwezi lakini ndio umekuwa mtaa mzima wanakujua husamehi wengine Kila ukikosana mchumba wako mmeo mkeo bos wako hujawasamehe Ndio chazo hupati Tena kazi kwingine Mungu unamuomna kanyamaza ,,,,,,,, Endeleaa Upone Ufunguliwe usijifunge Tena Naitwa Pastor Richard Naishi Morogoro Tanzania Ni Askofu na mwanzilishi wa ya Huduma ya Roho Mtakatifu yaani Holy Spirit Ministry Yenye ...

NGUVU YA MWANAMKE MWENYE HEKIMA

⌚✍🏾✍🏾SOMO; NGUVU YA MWANAMKE MWENYE HEKIMA HUJENGA NDOA YAKE LAKINI MWANAMKE MPUMBAVU HUKIMBILIA KUIVUNJA NDOA YAKE HALI KADHALIKA MWANAUME MPUMBAVU HUTOA TARAKA ASITAFUTE SURUHU NA MKEWE KWA KUKOSA HEKIMA HUONA SAWA TU.✍🏾✍🏾✍🏾 MITHALI;14;1_13 1wakoritho;11:1_15 Waefeso;4;4 Karibu Mwanangu ujifunze Somo Hili litakalo kufanya uvue upumbavu ukavae vazi la hekima nakutulia na ndoa yako uchumba wako na msimamo wako. Naitwa Pastor Richard Ni Bishop Richard Muasisi wa makanisa ya Holy Spirit Ministry Tanzania Moto wa Yesu yaliyopo nchini Tanzania na makao makuu Yake ofsi zipo Morogoro wilaya ya kilosa kata ya mbingiri Kijiji Cha Mateteni Lengo Kuu LA SOMO LETU; Tufikiri Kila maamuzi Tunayoyafanya yanaleta Faida Baadae au Yatatupelekea Kuteseka Tusiamue Vitu Kwa Hasira au Kukomoa mtu. HEKIMA Ni Nini Ni kufanya Mambo kwa utaratibu au usawa bila kupendelea Upambavu Ni Nini Ni kufanya Mambo ovyo ovyo bila usawa Wala ...

✍🏾✍🏾SOMO;USIJIDHARAU

✍🏾✍🏾SOMO;USIJIDHARAU Kutoka;4;1-10 Ayubu;5;17 Mtu Anaweza Kujidharau Kutokana na Mazingira anayoishi nakufanya au Hali Yake ilivyo ya kimaisha Kitu Ambacho huwa chukizo kwa Mungu na Furaha Yake Shetani kukutazamisha Uone huwezi au maisha Bora chakula kizuri kwa Ajiri ya wenye Pesa TU kumbe njisi ulivyo ukijikubali unaweza kuyabadilisha maisha yako. Masikini hujiona Hana thamani mbele ya Mtu mwenye Pesa hivyo Hali hiyo humfanya ajidharau nakunyenyekea nakumwabudu mtu mwenye Pesa kwa kuwa TU kuna kitu anakuwa anakiitaji. Kumbe wewe Ni wathamani Sana lakini kwa kuwa hujui thamani yako mbele za Mungu unajishusha hujiamini umekuwa mtu wa kusitasita katika maamuzi yako umekuwa wakujinug.unikia TU imefikia hatua umekufuru mpaka kusema kwanini nilizaliwa  imefikia hatua lawama umewatupia wazazi wako walezi wako Yote Kukosa ufahamu wakujielewa thamani yako kwa Mungu Umepewa thamani kumbwa Sana ya kutawala kila kitu kinakujua wewe Ni Mtoto wa Mungu taifa Teul...