Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Aprili 9, 2020

SOMO:WAJUE HAWA MAJINI

✍️✍️👉SOMO: WAJUE MAJINI WANAOTUMIWA NA MANABII WA UOGO  KUTENDA MIUJIZA NA WATAWALA WA NCHI NA WAFALME KUTAWALA NCHI NA DUNIA Tusome;Methali;3;14,. 2wakoritho;10;5 ✍️✍️✍️Inasikitisha Kuona Shetani Kainua Watumishi na Manabii wa Uogo ambao wameipoteza kweli Ya Yesu nakutumia nguvu za ngiza na roho za Mashetani Kutenda miujiza Mbalimbali Na Watu wamelikana Neno la Bwana Wameamua kumuacha Bwana Ndani Yao wamechukia Elimu ya kuwafungua nakuwaponya katika Neno la Mungu Roho Mtakatifu wamemchafua nakumkasirisha nakuondoka Ndani Yao nakuwaacha wajiongoze kwa akili zao wamesema Sisi Tunaakili na Tunajua nakuona. Karibuni Naitwa Pastor Richard Mtumwa wa Bwana Yesu niliyetumwa kwa Ajiri ya kila Mmoja mpagani mkristo mfia dini na Alifungwa na mtazamo wa kidini Kupitia Masomo haya au Elimu hii itamponya. Naishi Morogoro veta Dakawa Facebook MOTO wa Yesu Google Tovoti www.mchungajirichardi.blogospot.co ✍...