Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Machi 2, 2024

SOMO: MAOMBI YA UKOMBOZI WA MZALIWA WA KWANZA

SOMO: MAOMBI YA UKOMBOZI WA MZALIWA WA KWANZA KATIKA FAMILIA YOYOTE. 🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴🌴 Thamani Ya Mzaliwa Wa Kwanza  Kimwili ni kubwa ikitokea huyu mtoto wa kwanza kushindwa kimaisha Anafungulia Wadogo zake Washindwe na Familia nzima Kutokana Yeye ndiye Taa ya Familia Ikitokea Amejiingiza kwenye tabia chafu mfano ukahaba,Wizi,Kuabudu miungu,Kutumia madawa ya waganga wa Kienyeji ni rahisi Adui kupitia mlango wake huo nakuingia ndani ya Wazazi wake wadogo Zake. Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro Veta Dakawa Kanisa la Holy Spirit church Tanzania.  👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇 Rejea Hii Mistari Soma: Mwanzo:22:21, Mwanzo:25;31-34, Kutoka:13:12, Wakolosai;1:15-18 MAMBO YA KUZINGATIA KABLA YA KUOMBA HAYA MAOMBI.  🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍉🍇🍇🍇🍇🍇🍇 1.Soma rudia rudia uelewe Somo hili la kumkomboa mzaliwa wa Kwanza. 2.Utaandaa Sadaka Yako 35000 Nakuendelea Ukiwa huna usiyaombe subiri ukiwa nayo ingia umkomboe Mzaliwa wa Kwanza. 3.Wanaopaswa Kuomba Ni Wazazi ,Wazaliwa Wa Kwanza,...