TUMIA AKILI IPASAVYO
✔✔ *SOMO : TUMIA AKILI IPASAVYO* 1 koritho 2:11-14 Rumi 1:21-22 Akili ni sehemu Moja wapo aliyopewa mwanadamu avitumie ili kuishinda tamaa na hila za shetani ila akili Pekee haiwezi lazima apate msaada wa Roho Mtakatifu bila msaada wa Roho Mtakatifu akili Huenda kumpotosha na inapompeleka tofauti ni Pale huyu Mwanadamu anapoanza kujiuliza haya maswali au kuongea haya 1-Hakuna MUNGU au MUNGU hawezi Tenda hilo 2:MUNGU Anakubaliana na uovu au kumliganisha au kumchunguza tabua ukimuona Mtu wa hivi Amekwishapotea akili yake imempoteza wengine humtafit MUNGU Na kujiuliza Juu ya Uweza wake Naposema Tumia Akili au Uwe Na Akili ya kupambanua vitu kujitambua Wewe ni mtoto wa kifalme ukasimama na Mungu Hakuna kushindwa 1:Tambua wewe na nani usijiliganishe na watu ambao hawajapata ufahamu wa kumjua MUNGU Yaani Kuokoka wakaachana na Yale ya nyuma Ukijielewa hil...