SOMO;Misingi 3 Ya Kabla ujaingia ndoa
✍️✍️SOMO; MISINGI MITATU (3) YAKUBORESHA NDOA YAKO IWE YENYEFURAHA NA YAKUDUMU KATIKA AMANI✍️✍️✍️Chukua hii Ufurahie ndoa yako🙏🙏 Karibu Mtoto wa Mungu Tuelimishane nakujifunza Katika nguzo tatu za kuandaa ndoa iliyobora ndoa Yenye Amani na furaha ya kudumu Tufunue Biblia Zetu 1Timotheo;2;11-14, 1wakoritho:7;2-39 ,11:1-13 Mwanzo;34;12 Mithali;30;10 ✍️✍️Lengo La Kuwepo Darasa la Wanandoa ✍️🙏Ni kufufua mahusiano yasiyodumu nakufikia Malengo kuwajengea Elimu ya KuZijenga na kuimarisha ndoa Zetu Kama Kristo Alivyolijenga kanisa lake. ✍️✍️DHIMA YETU Kama Moto wa Yesu Kufanya ndoa ziwe na Amani na upendo uliojazwa hofu ya Mungu. ✍️✍️Misingi Nini ? Ni chochote kinachosimamisha Jambo liwe imara ✍️✍️✍️Darasa la Wanando ✍️✍️Mwalimu Wa Wanandoa. Nipo...