VIASHIRIA VYA MAJINI MWILINI
VIASHIRIA NA DALILI ZA MTU MWENYE MAJINI NDANI YA MWILI WAKE HIZI ZISOME Unapoziona Dalili Hizi ujue Jeshi unalopaswa ulipige Jeshi la Majini Mstari wa Maombi👉🏿2 Wakorintho 10:2-6 [5]tukiangusha mawazo na kila kitu kilichoinuka, kijiinuacho juu ya elimu ya Mungu; na tukiteka nyara kila fikira ipate kumtii Kristo; (1) kizunguzungu. (2) vitu kutembea tumboni. (3) vicheza mwilini. (4) kichwa kuuma mara kwa mara. (5) kuhisi mtu anatembea nyuma yako. (6) kupiga miayo sana. (7) ...