🙏🙏✍️SOMO;MALAIKA WA UJENZI
✍️🙏🙏SOMO🙏: MALAIKA WA UJENZI🙏🙏✍️ Tufunue Biblia Zetu Tusome Vitabu hivi 👉👉 Luka:14;30🌱Luka:17;28🌱1wafalme:5:3🌱8;15-20🌱Zakaria:6:15🌱Hagai:1;2🌱Muhubiri;3:3🌱Ezekieli;11:1-5 🙏UTANGULIZI🙏 Karibuni katika Mafundisho ya Neno la Mungu yatakayokukuza kiroho nakukuimarisha Kiimani Naitwa Bishop Richard Ni Askofu na Muasisi wa makanisa ya Holy Spirit Ministry Tanzania Yenye Makao makuu Morogoro veta Dakawa Makanisa yanayongozwa na Roho Mtakatifu Yenye nguvu ya UKOMBOZI na Mafundisho ya Neno la Mungu Ili kuwafungua watu na kuwaponya Kupitia Mafundisho tu. Leo Tunataka Tuwajue MALAIKA WA UJENZI kazi zao na MALAIKA Hawa wakoje na wanatenda kazi ngani. NIKIWA natafakari kazi ya Bwana Nasikia Sauti Malaika wa Ujenzi. KARIBU uwajue Hawa MALAIKA na uwatumie. 🙏🙏 MAANA YA MALAIKA WA UJ...