Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Aprili 28, 2020

SOMO: NGUVU YA KUFANIKIWA

✍️✍️SOMO; NGUVU YA MAFANIKIO Tufunue Biblia Zetu Tusome Matendo;11;29,3Yohana;2;2,Yoshua:1;7          ✍️✍️UTANGULIZI✍️✍️ NGUVU YA MAFANIKIO ni Hali inayomsukuma mtu kwa bidii na ujasiri nis Yote kufikia Malengo Yake. Bila mtu kuwa na nguvu ya mafanikio huwa hawezi kuitwa mtu mwenye mafanikio Tunapaswa Sasa Tujue Kwanini Wengine wanafanikiwa halafu kwanini Wengine hawafikii Kusundi lao. KUNA AINA 2 ZA WATU KATIKA MAFANIKIO. a.Kundi la Kwanza Ni Watu WENYE UWEZO MDOGO WA KUFIKIRI. Kundi Hili huwa watu waliojikatia Tamaa na wanamtazsmo wa kuona watu flani flani wenye hadhi flani ndio wanaofanikiwa. Kufikiri kwao na Nia ya kufanya kazi Hakuna huishi kwa kuaglia mwingine na sio yeye Ukikaa nae anamaneno ya kukatisha Tamaa Anawaza kushindwa tu. Huwa Wana Dalili Hizi watu Hawa. 1;Wanaongopa maisha Ukiongopa maisha kila kitu Utashindwa maana ulishaona maisha yamekupin...

✍️✍️SOMO; PETE YA NDOA

✍️✍️SOMO✍️PETE YA NDOA. Nawasalimu Watumishi Wa Bwana Katika jina la Yesu Inawezekana ndio Mara ya Kwanza kujiunga Ukurasa huu wa Moto wa Yesu Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro Veta Dakawa Nakukaribisha kujua historia ya Pete ya ndoa Wengi Tunavaa Pete huwa bado hatuelewi Pete ya ndoa ilianzia wapi na kwanini unapofungishwa ndoa unavishwa Pete hususa kwa wakristo wote. Tufunue Biblia Zetu Tusome;Kutoka;26;29 Luka;15;22-32 Yakobo;2:2-7 Mwanzo;38;18 isaya;3;20-22 ✍️✍️Lengo la SoMo;Tujue Pete za ndoa umhimu wake na historia Yake. ✍️✍️DHIMA YETU MOTO WA YESU: Tujue kweli na kweli ituweke huru. ✍️✍️HISTORIA YA PETE YA NDOA✍️✍️ Pete ya ndoa iliazishwa kuvaliwa na Watu wa Agano la kale katika Falme mbalimbali wakati huo Pete ilikuwa ikivaliwa mkononi kumtambulisha mtu Kama Ni mtawala na mwenye Amri juu ya kitu fulani. Pete hii katika Agano jipy...