SOMO:KUKUA KATIKA MAADILI YA MUNGU
SOMO: CHANGAMOTO YA KIJANA KUTEMBEA KATIKA MAADILI YA MUNGU Tufungue Biblia Zetu: Mathayo:19:20-22,✍️Torati:22:16 ✍️Mwanzo:21:14-20✍️1wafalme:1:1-4✍️Zaburi:37:25 Karibuni Katika Mafundisho ya Neno la MUNGU Popote ulipo Kila Kona Ya nchi Kwa Majina Yangu Naitwa Mchungaji Richard Ninaishi Tanzania🇹🇿 Africa Leo Naongelea Changamoto Mbalimbali Tunazozipata Vijana Katika Maadili yakutembea na MUNGU na Jinsi Ambavyo Tunavyoweza Kujinasua Sisi Kama Vijana: Tukadumu Kutembea Katika Maisha Yenye utaratibu wa Kitakatifu Mbele Za MUNGU. Sisi Vijana Tunapaswa Tujitambue Na Kuelewa Mambo haya YAFATAYO Yatakayotuongoza Kuishi maisha Yenye Maadili mbele Za MUNGU. MAMBO MATATU YASHIKE KIJANA ILI UTEMBEE KATIKA MAADILI YA MUNGU 1: HESHIMA MBELE ZA MUNGU: Ninaposema heshima mbele Za MUNGU namanisha Muonekano wetu Nyumbani Kwa Bwana Ushiriki Wetu Katika Nyazifa Mbalimbali ndani ya Kanisa Kijana Unaheshimu nafasi Yako uliyo nayo nd...