Sms Za Kuepuka usimtumie mmeo
✍️✍️SOMO; MWANAMKE SMS AMBAZO HUPASWI UMTUMIE MWANAMME WALA MPENZI WAKO UKIJARIBU NI SUMU KWAKO. Mithali;14;1 Mithali;16;1-5 Isaya;58;12 ✍️✍️DARASA LA WANANDOA ✍️✍️MWAL; PASTOR RICHARD ✍️✍️SIMU;+255759861768 👊👊👊 KARIBUNI KATIKA DARASA LA WANANDOA TUNAELIMISHANA NA TUWEZE KUJENGA NDOA ZETU NAKUFANYA NDOA ZIDUMU ✍️✍️ WANAUME Hupenda Sana Mawasiliano na Kuchat hasa kwa MKE wake Mchumba wake Lakini Kuna vitu Ambavyo unaweza ukasababisha Akawa hachati na kukata Mawasiliano nawe Kutokana na Sms TU unazomjibu nakumwandikia hivyo mwanamke unapotuma sms kwa MWANAUME Kuna vitu uepuke. ✍️✍️Mwanamke Mambo haya Hupaswi UMTUMIE MWANAMME USIJE UKAJARIBU UKAFANYA NI HATARI SANA Mambo hayo sms Kama Hizi ukifanya Utasababisha Mahusiano Yako kuwa na Shida SMS unazopaswa kuepuka kumtumia mwanaume. #1 Picha za uchi. Hap...