MAOMBI YAKUJENGA MADHABAHU WEWE NA MUNGU ALIYE HAI

🎤✍🏾MAombi YA Madhabahu kuujenga wewe na Mungu✍🏾🎤

Madhabahu huwa nini?

Ni mahusiano unayojenga baina yako na MUNGU

Madhabahu humtambua MTU kwa

1;imani

2;Dhabihu sadaka

3;Mahali alipopewa Baba WA kiroho Amlee

✍🏾✍🏾Madhabahu hujengwa ndani ya MTU na ukiona upo kanisani miaka yote hubadiriki kiroho au kimwili maisha yako hata maombi huwezi nk.

✍🏾✍🏾Ujue Hiyo Madhabahu sio mahali alipokuandalia kupokea majibu au Mabadiliko yako.

✍🏾🎤Madhabahu hujengwa ndani ya MTU katika kuweka mahusiano mazuri ya pale Anapokuwa MUNGU amemuweka alelewe vitu

1:Imani
2!sadaka
3;Maombi

Akifanya haya anatoa zaka halafu hapokei au hainuliwi kiroho ujue ile madhabahu haineni juu Yake kaa Umuombe MUNGU Roho Mtakatifu atakushuhudia utakaposimama

Kwa muda mfupi ukaona mabadiliko ya kiroho basi tulia hiyo Madhabahu ndio inakutambua tulia na Huyo mch. Kuwa mmoja watoto wake toa zaka sadaka na Yote Utajibiwa ndani ya hiyo madhabahu itakubadilisha maisha ukiona Roho anakueleza pale papo majibu yako amini hivyo

Ukiwa unazichanganya madhabahu au ukalazimisha madhabahu isiyo yako itakupa dalili hizi

1:Hutojibiwa ukiagalia mwaminifu WA fungu LA kumi

2!Hutabadilika  kiroho

3;Utaona wezako wanainuliwa
Wanasimama kimaombi wanasimama wenyewe wanashuhudia

Kumbe ni vyema kuujenga Madhabahu yako kama ilikuwa

Umeinjenga na imani za Tabia zisizompa MUNGU sifa

Tabia ya
Uzinzi
Wizi
Ukahaba
Ulevi
Waganga
Uchawi
Hofu
Husuda

Nk matendo kama haya lazima uache

✍🏾🎤🎤Mwanzo;8;20. Mathayo.23;18-20

🔚Pastor Richard

MOROGORO shukia VETA DAKAWA

Holy spirit ministry Tanzania

Share

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

NDOTO 20 ZA SHULENI TU MAZINGIRA Ya SHULE

SOMO: NGUVU YA KUJITAMBUA

SOMO:ADUI NA JINSI YA KUMKABILI ADUI YAKO.