Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Machi 26, 2022

SOMO;MAADUI WA 5 KATIKA MAISHA YAKO

Picha
     SOMO: WAJAUE MAADUI WA 5 KATIKA                 MAISHA YAKO. JUMAPILI KANISANI  LEO ▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎▪︎ Karibu Kuna Maadui Wanne Hatari Kwenye Maisha Yetu Ambao Ni Vyema Uwajue. Naitwa Pastor Richard  Nipo Morogoro Veta Dakawa  WhatsApp +255710889892 Karibu 1:ADUI KAINI. TUNASOMA (MWANZO;4;2-25 Hawa ni Maadui Ambao Wanaojifanya wanakupenda ndani ya moyo yao wana mikakati mibaya Juu Yako. SIFA ZA WATU HAWA 1:Ni watu wanaojifanya wanakupenda kumbe wauaji. 2;Ni Watu Wanaofanya Uadui nawewe Kwa Siri ni ngumu kuwajua hivihivi. 3:Ni watu Wasiopenda wewe Ufanikiwe wanapenda wao tu wafanikiwe. 4:Wanaushauri Na Nia Ya Kukuzunguka Kipindi Ukifanikiwa ukawazidi. 5;Ni watu wanaona wivu kila uwapitapo hatua moja ya maendeleo.  6;Ni watu wanaweza kukuwekea hata sumu wakue. TUFANYE NINI KUWAEPUKA ADUI HAWA 1:Tusiwape nafasi kubwa ya kujua malengo Yetu 2;Tumuombe Mungu atuepushe nao. 2:ADUI DELILA Tusome WAAMUZI;16;1-...

USHUHUDA WA NDOA

Picha
Habari watumishi Namtukuza Mungu Kupitia Madhabahu Hii Ya Moto Wa Yesu Namuona Mungu Akitenda Toka Nimetoka Morogoro Mambo mengi yamefunguka Kupitia Masomo niliyoyasoma huko yamenifungua Sana Sana maana sikuwahi ukifundishwa hivyo Hata Leo Nashuhudia nipo Kwenye Ndoa. MUNGU amenipa ubavu wangu vifungo vimefunguka Mimi na miaka 37 Nipo Dar Huyu Pastor Richard Haombei Lakini Yeye Ukifika Huko Anakufundisha tu kupitia masomo yatakufungua kuendelea kusimama na Mungu Mfate WhatsApp Akupe Maelekezo Ya Kufika +255759861768 YUPO MKOA WA MOROGORO VETA DAKAWA