Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Desemba 11, 2017

NJISI YA KUFANIKIWA WEWE KUPITIA SIFA YA MAJINA NA NYOTA

👉🏽 *NJISI  YA MAJINA  KUFANIKIWA KUAZIA HERUFI A-Z* _Pastor Richard_ From MOROGORO _WENYE HERUFI A_ 1:Anashauriwa Asimamie  katika Msimamo wake Asiyumbishwe 2;Ajiamini kwa kila jambo Afanyalo 3!Awe MTU WA IBADA NA Ushirika Na MUNGU 4;AJIREKEBISHE SIFA Zisizo faa kama Kiburi ugomvi nk aache. 5;Ajichanganye na wengine asijitenge tenge 👉🏽 _WENYE HERUFI B_ 1; Ajiepushe na makundi marafiki 2; ASIMAME Katika sifa zake asifate mkumbo 3;Awe  mtetezi kwa waliodhaifu 4; Asimame Na MUNGU asimuache 5; Abadilishe Sifa  zisizofaa ajirekebishe 👉🏽 _WENYE HERUFI C_ 1;Huyu Anashauriwa Tabia ya kubadilika Badilika Waache. Wasimame na malengo yao 2;Wasivunjike Moyo wawe jasiri 3;Wamuweke MUNGU mbele waache kubabaika Mara wanarudi nyuma Mara wanasimama 4; Waheshimu Ndoto zao 👉🏽 _WENYE HERUFI D_ 1; Wanashauriwa waendelee na msimamo yao Kupenda Hali. Waepuke Ujeuri wawe watu wenye kujishus...