Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Aprili 20, 2020

✍️✍️SOMO✍️JINSI YA KUISHI NA MWANAUME ASIYE na PESA

✍️✍️✍️SOMO: JINSI YA KUISHI NA MWANAUME AMBAYE HANA PESA AU KAZI MWANAMKE  Chukua HAYA✍️✍️✍️ Tufunue vitabu hivi Isaya;58;12  ✍️ Waefeso 5;22 ✍️✍️DARASA LA WANANDOA ✍️✍️Mwal; PASTOR RICHARD Nipo Morogoro veta Dakawa Simu+255759861768 Ni siku nyingine tunakutana kwenye Darasa la WANANDOA Leo hii  naongelea JINSI ya wewe mwanamke kuishi na mwanaume asiye na Pesa maana Wanawake na Mabint Wengi hufikiri Pesa ndio ndoa au mahusiano Bora yapo kwa kijana mwenye Pesa Kumbe Tunaitaji Kuolewa na mtu sio Pesa Hebu Karibu Darasani. Mwanaume ambaye atakuwa na ukwasi wa kutosha huyo ndiye anayefaa kuwa naye kwenye uhusiano au hata ndoa. Anaamini kwamba pesa ndiyo kila kitu. Pesa ndiyo itakayompa mahitaji yake ya kupendeza na kila kitu. Mwanaume bila pesa kwake ni sawa na debe tupu. Upepo wa imani hiyo upo sana mjini. Baadhi ya wanawake...

Somo;Sifa 15 Za Kupendwa

✍️✍️👇👉SOMO: SIFA 15 ZA MWANAUME ANAYEPENDWA NA WANAWAKE AMBAZO MWANAUME UNAPASWA UZITAFUTE. Isaya:58;12✍️  2wakoritho:4;6 ✍️✍️DARASA LA WANANDOA Mwal: Pastor Richard Morogoro veta Dakawa Simu+255759861768 Pengine watu wengi wamekuwa wakitafuta ni jinsi gani wanaweza kupendwa na wasichana au wanawake. Niwazi kabisa kila mwanamke anachaguo lake kwa mwanaume ampendae.Huenda ukawa unavigezo kibao lakini akapenda mweyevigezo vichache. Vitafute vigezo hivi 15 ambavyo wasichana wengi hupenda kutoka kwa mwanaume ili nawe uwe miongoni mwa wanaume wenye kupendwa. ✍️✍️SIFA HIZI 1. Mcheshi 2. Kujiamini 3. Mwenye utashi 4. Anayetoa msaada unapohitajika 5. Anaetunza siri 6. Mwenye kujithamini 7. Mwenye malengo / makini 8. Mwenye mawazo mapana 9. AliyeMuwazi na mkweli 10. Anayeridhika 11. Aliyeshupavu na jasiri 12. Mwenyehuruma 13. Anaesamehe 14. Mwenye Hadhi na heshima ...