SOMO :KUTODUMU KWA MAHUSIANO unaanzisha mahusiano yanavunjika ndoa kuvunjika
Bwana YESU Asiwe watoto Wa MUNGU Karibu kwa majina Naitwa PASTOR RICHARD SOMO LETU linaongozwa na vitabu hivi . Kutoka:34:15-16 2wafalme:9:22 HOSEA 2:2 Ezekieli 23:35,45 2Petro :2:14 SOMO hili litakuf ungua KUVUNJIKA KWA MAHUSIANO HUWA SIO HALI YJAMBOA KAWAIDA AU LA KUCHUKULIA KIMAMZAHA USIOMBEWE TATIZO LA WALIOPENDANA KUACHANA huwa ni njia za shetani ambazo huzitumia kwa kutumia roho zinazomfanya mtu Awe kwanzo kwa mwezake na hii imefaulu kwa watoto wengi wa MUNGU shetani kuvuruga na kuyaachanisha mahusiano yao Juu ya watu waliowapenda na kufikiri hawa ni chunguo sahihi kwa kuwa kazi ya shetani ni uharibifu huwa siku zote yeye hupingana na angizo la Mungu Na hii huwasumbua sana watu ambao hawajasimama kiroho au kutambua kuwa shetani YUPO na mabint na vijana wengi wameishia Kuumiza au kuumizwa MAMBO YANAYO MFANYA SHETANI APATE NAFASI Huwa ni Pale wewe...