SOMO: MAMBO YANAYOKUFANYA UWE Masikini
SOMO;MAMBO MANNE YANAYOKUFANYA UWE MASKINI. Mwal. PASTOR RICHARD MOROGORO VETA DAKAWA WHATSAPP +255759861768 1:WAZO LA KUJIONA UMESHINDWA. Matokeo ya ulivyo nikutokana na Wazo ulilokuwa Unawaza huko nyuma. Huwezi kuwa Tajiri wakati Unawaza Umasikini Huwezi kuolewa wakati unawaza Kuwa Singo. Zaburi 94:11 [11]BWANA anajua mawazo ya mwanadamu, Ya kuwa ni ubatili. The LORD knoweth the thoughts of man, that they are vanity. 2:KUCHUKIA MAFANIKIO YA WENGINE. Hapa Tusome; Mwanzo:4:1-10 Huwezi Ukawa mtu unayechukia maendeleo Ya wegine ukifanikiwa. 3:MATUMIZI MABAYA YA KINDOGO UNACHOPATA. Huwezi Kumiliki Ukathamini Kitu Kikubwa wakati kidogo unadharau Mfano umepata 10000 Yote inaisha usiweke skiba lazima uwe maskini. 4;JIFUNZE MAKOSA YAKO KWANINI NI WEWE UPO HIVYO. Mtu anayetaka Kufanikiwa Lazima Ujifunze upate ujuzi juu ya unachoenda kukifanya. HITIMISHO Epuka umasikini Ambao Unaweza ukaepuka kupitia haya tuliojifunza WhatsApp Pas...