SOMO: CHANZO CHA MATATIZO
👆🏽👆🏽✔ *SOMO: CHANZO CHA MATATIZO KWA MWANADAMU* Yakobo:1:2-4 2Koritho:1:3-7 8-10 KUNA MAMBO YANAYO MFANYA MTU ATESEKE AU APITIE MATATIZO Ambayo humfanya mtu aishi kwa Shida na Matatizo Mbalimbali karibu ufuguliwe katika somo hili Lengo la SOMO : Uelewe NJISI yakutoka kwenye Tatizo lako au Umsaidie mwenye Matatizo *KABLA SIJAENDELEA KUNA Jambo ambalo lazima uelewe mtu alianza kuteseka pale tu Adamu na Hawa waliambiwa wawe waagalifu wanaweza kutumia miti yote Lakini wasitumie mti wa miujiza na mabaya na Mema. LAKINI HAWAKUWEZA KUTII AU KUZINGATIA* KWANINI mtu huwa mgumu sana kwenye kushika anachoelekezwa chenye kuokoa maisha yake hii huwa sababu ya kuteseka *Mwanzo:1:31 mwanzo 3* *1:MATOKEO YA DHAMBI* Hii huwa sababu inayomfanya mtu atende dhambi na akishatenda ile dhambi humfanya ajute na kupitia katika chagamoto mbalimbali na kumpelekea mtu Awe chazo cha mateso Mambo hayo huwa ni Pamoja ya dhambi Adamu n...