SOMO: YAFANYE HAYA KWENYE MAHUSIANO NAYATADUMU
SOMO; YAFANYE MAHUSIANO YAKO YADUMU KWA KUFANYA HAYA KABLA HAMJAOANA. Naitwa Pastor Richard Mwalimu wa Wanandoa Kuna Watu Wengi Wameshindwa KUIMARISHA mahusiano Yao Nakuyafanya Yasifikie kwenye ndoa Kwa Sababu Yakukosa Ufahamu wakujua haya mapema Mithali 8:10 [10]Pokea mafundisho yangu, wala si fedha, Na maarifa kuliko dhahabu safi. ✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️ Yeremia 7:28 [28]Nawe utawaambia, Taifa hili ndilo lisilosikiliza sauti ya BWANA, Mungu wao, wala kupokea mafundisho; uaminifu umepotea, umekatiliwa mbali na vinywa vyao. ✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️ππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏππΏπ΄π΄π΄π΄π΄ Mwanzo wa Mahusiano Msidanganyane(a)Mwambie mwenzi wako ukweli. (b)Mwambie yale unayopenda na usiyopenda. (c)Kuwa muwazi kwa mwenzi wako. (d)Onyesha upo tayari kuachana na mambo yote uliyokuwa umeyazoea ambayo kwa sasa yanaweza bomoa uhusiano wenu. Mfanye Mwenzako Ajisikie ni wa Muhimu (a)Tenga muda maalumu wa kuwa naye. (b)Onyesha unafurahia uwepo wake. (c)M...