PEPO ANAVYOMUINGIA ALIYEOKOKA
🌳🌳 *CHAKULA CHA SAFARI 2018*🌳🌳 tar _9/1/2018_ *PR : PASTOR RICHARD* _JE MTU ALIYEOKOKA ANAWEZA AKAWA NA PEPO_ *Mathayo. 15:26* *LUKA 13:16* Jibu ni ndio shetani na Mungu wanauwezo wakukaa Pamoja Na Kila mmoja akaanza kumtumikisha Mtu mmoja. Utaona kwa Mwanamke aliyeteseka miaka 18 Alikuwa kanisani anaenda anafunga wakati huo huo shetani anamtesa kwa maradhi na Mungu anamtumia kumtumikia Utaona kwa mfalme sauli kwa mfalme Daudi mpaka akaingiwa na shetani Akazini na Mke WA MTU PIA AKASHAWISHIKA KWA YUDA napo Utaona alivyomsalit Yesu Utaona Kwa Ayubu Ukisoma Biblia utawaona hao Watumishi walisimama Na Mungu Na shetani aliwaingia na kumtumikisha 🌳🌳 *HATUA ZA MTU ALIYEOKOKA* 🌳🌳 1: _ANATAKIWA AFUNDISHWE NENO LA MUNGU ANAPOOKOKA_ 2: _ANATAKIWA AJIFUNZE KATIKA ROHO MTAKATIFU_ 3 _:ASIMFATE MUNGU KATIKA MWILI ATAANGUKA KIROHO_ 1samweli.16:14-15 Ayubu 2:7 Ezekieli. 8:17 ...