Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Aprili 23, 2020

Somo;ACHA TABIA INAYOKWAMISHA UPENDO NDANI

✍️✍️SOMO:JINSI YA KUIACHA TABIA INAYOMKWANZA MWEZI WAKO NDANI YA NYUMBA ✍️✍️ Umri Miaka 18 Wanaruhusiwa Masomo haya Mithali;14;1 Isaya;58;12 ✍️✍️ MASOMO YA WANANDOA ✍️✍️MWL: PASTOR RICHARD ✍️✍️NIPO Morogoro veta Dakawa ✍️✍️Simu +255759861768 Wanandoa Tuongee Tunakutana Tena katika DARASA la KuZijenga ndoa Zetu zilizobomoka Kupitia Tabia Zetu Wanandoa ndani Ya Nyumba. Kati ya kitu ambacho kinasumbua wengi na kimekwamisha wengi ni tabia.Wengi wana huzuni ndoa zimewashinda,kazi zimewashinda,fedha na mafanikio vimewakimbia,watoto wamewashinda,hawana marafiki hata miili yao haina afya kwa sababu ya tabia tu. Wengine wamejiona ni kama wana laana,wengine wanafikiri labda wanaugua ugonjwa flani lakini shida siyo shida nitabia zao tu. Hebu tuone namna gani tunaweza badilika au kubadilisha tabia zetu. ✍️✍️T...

SOMO; MWANAMME MFURAHISHE MKEO

✍️✍️SOMO: MWANAUME MFURAHISHE MKEO ✍️✍️Chukua hii mwanaume ✍️✍️DARASA LA WANANDOA ✍️✍️MWAL: PASTOR RICHARD ✍️✍️Nipo Morogoro Veta Dakawa ✍️✍️👇Simu+255759861768 🍇🍇 _Mwanamke ni ulimwengu mpana sana ambao huathiriwa na hisia zake zaidi ya anavyoathiriwa na kitu kingine chochote._ ......🍇🍇 _Mwanaume akifanikiwa kuumiliki moyo wake atakuwa amefanikiwa kukimiliki kitu kingine chochote._ .Mwalimu wa Wanandoa Wanandoa Tuongee inakufanya Ufurahie Ndoa Yako Nakuijenga ndoa yako ✍️✍️*Yafuatayo ni mambo rahisi ambayo unaweza kuyafanya ili kuuteka moyo wake✍️✍️.* *1✍️. Zidisha ‘surprise’.* ......🍇🍇 _Leo mfanyie surprise kwa kitu fulani, siku nyingine kwa kitu kingine. Kwa mfano, unaweza kum...

✍️✍️SOMO✍️SIRI YA KUDUMISHA Mahusiano Yako

✍️✍️SOMO; ✍️TAMBUA MAMBO YANAYOLINDA NA KUDUMISHA MAHUSIANO. ✍️Mithali;14;1✍️Isaya;58;12✍️Mwanzo;2;24 ✍️✍️DARASA LA WANANDOA ✍️✍️Mwal; Pastor Richard ✍️✍️Nipo Morogoro Veta Dakawa ✍️✍️SIMU:+255759861768 UNAWEZA kuanzisha kitu chochote, wakati wowote lakini jambo la msingi zaidi ni namna ya kudumisha na kuendeleza ulichokianzisha. Kwa mfano, unaweza kufungua biashara fulani lakini ukafeli katika kuisimamia na kufuja fedha, hutafanikiwa!, ndivyo ilivyo hata kwenye uhusiano. Unaanzisha sawa, lakini vipi kuhusu kudumisha penzi lako likaendelea kuwa na nguvu zaidi siku hadi siku? 💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕 TAMBUA THAMANI jithamini kwanza na kum...