Somo; UMEPANDIKIZIWA DHARAU NA LAWAMA
✍🏾✍🏾👏🏽SOMO; UMEPANDIKIZIWA DHARAU NA LAWAMA ZIONDOE LAWAMA NA DHARAU TU UTAPONA.✍🏾✍🏾 Nimatumaini Yangu Wanangu Wote Mpo Salama Kabisa Basi chukua Muda uombe Mungu nipe Ufahamu nifunguliwe na SoMo Hili Maana Masomo haya yaitaji msaada wa Roho Mtakatifu ili Uelewe Tatizo lilipo na uchukue hatua Tufunue Biblia Zetu Tusome Vitabu hivi Mathayo:12;7 Luka:6;37 Warumi:9;19 Wakolosai;3;13 Waebrania;8;8 Zaburi:31;11 na 74;10-18,38;1_5 Kaa kimya Dakika Tano kabla hujaendelea kusoma SoMo Hili Kisha Rudi uendeleee ✍🏾✍🏾🔥🔥 UTANGULIZI🔥👏🏽👏🏽 Ushuhuda wa Mtu aliyekuwa Anapenda Kila Kitu Kulaumu akawa anaumwa presha miguu kuumwa na Kisukari Miaka MINGI hiyo Hali ilikuwa ikimte...