SOMO: MWOGOZO WA KUWAJUA MALAIKA VIZURI

MWONGOZO WA KUWAJUA MALAIKA WATENDAO KAZI NA MUNGU MBINGUNI NA DUNIANI NA NAMNA WANAVYO TENDA KAZI. Najua umesha soma vitabu vingi au kuangalia mahubiri mbali mbali yanayo zungumzia kuwajua mapepo au majini na majina yao, sasa leo naomba tujifunze japo kwa ufupi juu ya malaika ili tujue namna wanavyo fanya kazi kama wajumbe wa baraza la mbinguni kwani ufahamu huu utatufanya tuwe karibu na Mungu kama wengine wanavyo tumia mapepo au wanavyo kuwa karibu na majini. karibu twende pamoja MFANO WA MUONEKANO WA MALAIKA ...