Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Julai 3, 2020

SOMO: WAJIBU WA MTUMISHI WA MUNGU NI KUWAFUNDISHA WATU

✍️SOMO: ✍️WAJIBU NA JUKUMU KUU LA MTUMISHI WA MUNGU.✍️ Tufunue. Biblia 1Timotheo sura ya:4'na 5 Soma Yote Kisha TAFAKARI Neno Ukishasoma Mistari hiyo. Kuna Wakati Watumishi wanapaswa wakumbushwe Kazi Kuu waliyoitiwa ndani Yao  na wajue wajibu wao kwa washirika wao Hata Kondoo wao Pia Na Watoto (waumini )wanapaswa wajue wajibu wao Wanapaswa wafundishwe nakuelekezwa wapaswayo Kufanya na Jinsi yakusimama wao wenyewe Kutatua Matatizo na Kukua kiroho"Ni wajibu wako mshirika kupenda Mafundisho na Kufanyia kazi. Lengo La SoMo; Kuwakumbusha Watumishi wajibu wao na wanafunzi wajibu wao Dhima Yetu MOTO WA YESU; Kuadaa Watumishi wenye nguvu ya kiroho Na Hofu ya Mungu. WAJIBU WA MTUMISHI NDIO NINI,,? Ni Hali inayomfanya Mtumishi ajue kusundi la Mungu ndani yake Nini Ili Kumsaidia Asikengeuke au Kupotosha Kundi au Kondoo Kuwatawanyisha. KUNA WAJIBU AU KAZI MBILI TU ALIOPEWA MTUMISHI WA MUNGU 1;WAJIBU WAKE WA KWANZA; KUFUNDISHA KUNDI. Mtumishi an...

SOMO;JITUNZE na Jisimamie

✍️SOMO:✍️MAMBO YA KUZINGATIA UNAPOJITUNZA NA KUJISIMAMIA KIROHO FATA HAYA Karibuni Leo Nataka Tufundishane Nguvu ya Kujisimamia wenyewe nakutunza maisha yetu kiroho Kunawatu Wapo wanatamani wasimame watembee wao Kama wait lakini hawawezi kila wakijaribu Kujitunza kiroho wanajichafua Tena kila wanapojichafua Shetani na mapepo yanapata kuwatesa wachawi wanawatesa Kumbe Ni Mtu kuuchafua maisha yake ya kiroho . Sasa Leo Nataka Ujifunze na Ujue Ufanyeje ili usimsme usiyumbeyumbe na Tatizo lako lisikurudie Tena fata haya Kwa Majina Naitwa PASTOR RICHARD Nipo Morogoro Veta Dakawa nchini Tanzania Vitabu rejea;1 Timotheo;4:16 Kutoka;23;21 Ayubu;32:13 Torati;11;16 Soma Vitabu TAFAKARI Kisha endelea kusoma KUJITUNZA Ni Nini Kiroho; Ni Hali yakuishi maisha yasiyo na Mawazo machafu au Kusema Mungu Hawezi. Macho yako yaone ukuu wa Bwana. KUJISIMAMIA NI KITENDO NGANI: Ni Hali ya kuhakikisha maisha yako Mawazo yako na Moyo wako vinamwabudu Mungu nakuchukia Mambo yanakufa...

SOMO:Mambo MATANO YANAYOMFUNGA BINT SAYUNI Asiolewe

🙏MAMBO MATANO YANAYOMFUNGA BINT SAYUNI ASIOLEWE/KIJANA SAYUNI NAE ASIOE NI HAYAPA. Karibuni Vijana Wa Yesu Tujifunze Jambo Hili Linalowatesa Mabint na Vijana Wengi Katika Kupata Usahihi wa Maisha Yao Kijana mwezenu na mjumbe Mwaminifu Wa Yesu Kristo Pastor  Richard Kushoka Nipo Morogoro Nchini Tanzania Kwanza Tujue Bint SAYUNI Ni Nani? Na Kijana wa SAYUNI Ni Nani? rejea Biblia Zaburi;50;2 BINT SAYUNI Ni Mschana mcha Mungu mwenye Hofu ya Mungu ndani Yake Zakaria : 2: 10 Imba, ufurahi, Ee binti Sayuni; maana, tazama, ninakuja, nami nitakaa kati yako, asema BWANA KIJANA SAYUNI:- Ni Kijana wa Kiume mcha Mungu mwenye Hofu ya Mungu Anaempenda Mungu. Zaburi : 99;2 BWANA katika Sayuni ni mkuu,Naye ametukuka juu ya mataifa yote. KUFUNGWA NDIO NINI?? Ni Hali ya wewe kukosa uhuru juu ya Maamuzi yako au unachotakiwa ukifanye. LEO NAWAONGELEA VIJANA WALIOKOKA SABABU YA WAO HAWAOLEWI/HAWAOI NINI CHAZO  Kuna nguvu na Vifungo vitano tu Kwa Bint Vinavyomfanya Asiolewe au Asidumu kwen...