SOMO:MJUE MTU ALIYEFUNGWA NA Maroho Bila KUJUA
SOMO: MJUE MTU ALIYEFUNGWA NA Maroho Bila KUJUA. Karibu katika Somo hili uweze kujitambua namna ya kushughulikia roho zinazokutumikisha Katika Ulimwengu wa roho bila wewe Kujua au Kutambua kama unateswa na roho. Somo hili unaruhusiwa kushare nakuwafundisha wegine. Naitwa Pastor Richard Nipo Morogoro Veta Dakawa WhatsApp inbox +255759861768 TUSOME MISTARI HII Mithali 1:7 [7]Kumcha BWANA ni chanzo cha maarifa, Bali wapumbavu hudharau hekima na adabu. 1 Wakorintho 12:7 [7]Lakini kila mmoja hupewa ufunuo wa Roho kwa kufaidiana. 👇👇👇👇👇👇👇👇👇 Nitaenda Kuongelea Vifungo na Pepo linalosababisha hilo tatizo ili kukusaindia kujua ushughulike vipi unapojifungua au kuomba. KUNA WATU MAPEPO YAO YANAWATUMIKISHA KULA VITU VIFATAVYO:_ _________^^^^^^^_______^^^^^^^_____ 1:KULA UNDOGO WOWOTE =Jini nyoka Ukiona unakula undogo unapepo la nyoka kemea. 2.KULA MKAA= Jini Cheketu. Ukiona mtu anakula mkaa anapepo hili linamtumikisha Kemea. 3.KULA NGODORO= Jini la Uvuvi. Ukio...