Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Desemba 12, 2017

NJISI MUNGU ALIVYOPANGILIA MAISHA YAKO

WALAWI.13 YEREMIA. 1;5 1:HATUA YA KWAN ZA Kuzaliwa MUNGU alipanga uzaliwe na uje hapa duniani Uishi na kumwabudu yeye NA kumtumikia . 2; HATUA YA PILI .ALipangilia mtiriri ko utakaouishi na kupitia mpaka kufika alipokuandalia Mapito yote aliweka 3: Hatua ya Tatu Alipangilia majaribu na mawazo vish awishi   ambavyo hutakiwa ushinde   na Kusonga mbele sio ukate tamaa 4; Hatua Ya NNE Alipangilia ukombozi wako Mtumishi atakayekulea kiroho na imani utakayo kudumisha kwake 5; Hatua Ya Tano Alipangilia viungo ufahamu na vitu mbali mbali akakupa   uwezo uvitumie vyema lakini ukikosea vinakupoteza na   kukutenga naye 6; Hatua Ya Sita Alipangilia NJEMA na Mbaya akakuelewesha kuwa mema ni yangu utendapo mema   unanitukuza Mimi   ukitenda maovu unamtukuza shetani kaa utumie akili na viungo nilivyokupa akamaliza . 7; Hatua Ya SABA Alipangilia kuamini na kutoamini Aka...

SABABU YA UTASA na UGUMBA

✍🏾✍🏾Somo; UTASA AU UGUMBA✍🏾✍🏾 Miongozo Ya Biblia Tufunue Kutoka:25;26. Mwanzo: 11;30 ☝🏽Utasa ni nini? Ni MTU aliyefungwa kizazi au Uzao na ufalme WA majeshi ya shetani asizae au kuzaa. MTU huyu huweza kuwa mwanaume au mwanamke UTasa Upo Unagawanyika katika Makundi 2 1⃣ Utasa uliorusiwa na MUNGU kama daraja LA kumjua MUNGU 2⃣Utasa WA kufungwa  na falme za Giza majeshi ya kuzimu Yanachukua uzao wako. ✍🏾✍🏾UTasa WA kufungwa visababishi huwa 1;Uzinzi 2;waganga 3!Uchawi 4!Majini 5!Mapepo 6!Ndoa za kipepo 7!Matumizi ya vilevi kwa wingi. Kama drugs abuse(Madawa ya kulevya.pombe kali  nk. 8!Mizimu 9!Majina ya kurisi au ya kujiita Tu. ☝🏽☝🏽Haya ndio Huwa mlango WA majeshi ya kuzimu kuingia nakufuga uzao wako usizae. ✍🏾✍🏾UTASa WA MUNGU Huu huwa utasa unaorusiwa Na MUNGU upitie wakati huo ili Uweze kumjua ...

NJISI MUNGU ALIVYOPANGILIA MAISHA YAKO

SOMO 👉 Mungu alívyopangilia maisha Yetu 🏆🏆Mungu ameyapangilia maisha yako Kama ifatavyo WALAWI.13 YEREMIA. 1;5 1:HATUA YA KWAN ZA Kuzaliwa MUNGU alipanga uzaliwe na uje hapa duniani Uishi na kumwabudu yeye NA kumtumikia . 2; HATUA YA PILI .ALipangilia mtiriri ko utakaouishi na kupitia mpaka kufika alipokuandalia Mapito yote aliweka 3: Hatua ya Tatu Alipangilia majaribu na mawazo vish awishi   ambavyo hutakiwa ushinde   na Kusonga mbele sio ukate tamaa 4; Hatua Ya NNE Alipangilia ukombozi wako Mtumishi atakayekulea kiroho na imani utakayo kudumisha kwake 5; Hatua Ya Tano Alipangilia viungo ufahamu na vitu mbali mbali akakupa   uwezo uvitumie vyema lakini ukikosea vinakupoteza na   kukutenga naye 6; Hatua Ya Sita Alipangilia NJEMA na Mbaya akakuelewesha kuwa mema ni yangu utendapo mema   unanitukuza Mimi   ukitenda maovu unamtukuza shetani ...

Kijue kitabu cha Agano Jipya full chote

🎤🎤IJUE Biblia VIZURI🎻 🌏KARIBU Ujue Agano Jipya🌲🌲 Agano jipya ni kitabu kinachokusanya Maisha ya Yesu na mitume wake aliotenda nao kazi kuazia kuzaliwa kwake mpaka kupaa kwake. 🌳🌳Ni kitabu cha kipekee kilichokuja kunena unabii WA maisha ya mbeleni  na kutuongoza pakusimamia na kutufunulia mengi Tuliokuwa Hatuyajui. 🌴🌴Yesu ni nani? Ni MUNGU mwenyewe aliyejivika vazi LA kimwili nakuja Hapa duniani kuokomboa ulimwengu Uliokuwa umemuacha MUNGU na kuishi maisha ya dhambi. Tunaelezwa Kuhusu Yesu Yohana.1;1-6 Wengi mpaka Leo humfananisha Yesu Na mwingizaji mmoja aliyekuja  kuichochea Imani ndani mwa watu Briton Deacon Kitu ambacho Yesu alikuwa ameshapaa ✍🏾✍🏾Agano jipya  Limeandikwa na waandishi tofauti tofauti mitume na wanafarisafa mbali mbali. Katika Mazingira tofauti tofauti nyakati tofauti 👁👁UFaFanuzi WA Agano jip...

NJISI YA KUFANIKIWA KUPITIA NYOTA YAKO JINA LAKO

👉🏽 *NJISI  YA MAJINA  KUFANIKIWA KUAZIA HERUFI A-Z* _Pastor Richard_ From MOROGORO _WENYE HERUFI A_ 1:Anashauriwa Asimamie  katika Msimamo wake Asiyumbishwe 2;Ajiamini kwa kila jambo Afanyalo 3!Awe MTU WA IBADA NA Ushirika Na MUNGU 4;AJIREKEBISHE SIFA Zisizo faa kama Kiburi ugomvi nk aache. 5;Ajichanganye na wengine asijitenge tenge 👉🏽 _WENYE HERUFI B_ 1; Ajiepushe na makundi marafiki 2; ASIMAME Katika sifa zake asifate mkumbo 3;Awe  mtetezi kwa waliodhaifu 4; Asimame Na MUNGU asimuache 5; Abadilishe Sifa  zisizofaa ajirekebishe 👉🏽 _WENYE HERUFI C_ 1;Huyu Anashauriwa Tabia ya kubadilika Badilika Waache. Wasimame na malengo yao 2;Wasivunjike Moyo wawe jasiri 3;Wamuweke MUNGU mbele waache kubabaika Mara wanarudi nyuma Mara wanasimama 4; Waheshimu Ndoto zao 👉🏽 _WENYE HERUFI D_ 1; Wanashauriwa waendelee na msimamo yao Kupenda Hali. Waepuke Ujeuri wawe watu wenye kujishus...