SOMO;YAJUE MAKUNDI YA KUEPUKA USITEMBEE NAYO
✍️✍️SOMO ✍️WAJUE WATU WA KUWAEPUKA KABISA USIWE NAO KARIBU AU KUISHI NAO. Tufunue Biblia Zetu Tusome Vitabu hivi 👉👉 Mithali;13:14, Mithali:14:27,Ayubu;1:1-8 Ayubu:2;8 ✍️✍️UTANGULIZI✍️✍️ Katika Jamii au Marafiki au Watu waliokuzunguka Inakupasa Ukitaka Ufanikiwe Utembee Na Uwe Vizuri Kiroho Kuna Watu Unapaswa uwaepuke na Ukae Mbali nao Ili Kuponya Nafsi Yako Na Kukujibu katika mambi Yako Kuna wakati hufanikiwi kutokana Campani ya Marafiki ulionao katika kuwaomba ushauri kutembea nao. Karibu Naitwa Pastor Richard Ujifunze watu sahihi utakaotembea nao kina Elisha kina Yoshua utawajuaje waliosahihi na Kinadelila ambao SI sahihi kina Yuda au Petro uwajue kina Paulo Abinengo shadrack. ✍️✍️✍️LENGO La SOMO UPONE uwe mshindi. ✍️✍️✍️WATU WA HIVI WENYE KAULI HIZI WAEPUKE✍️ A)Kundi la Kwanza Watu...