Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Agosti 23, 2016

HOLY SPIRIT(ROHO MTAKATIFU MASOMO YAKE.

MUNGU  ANAMRUSU ROHO WAKE AKETI KWA MTU AMBAYE AMEOMBA MAOMBI YA MSAMAHA NA KUTUBU .  ISAYA .57;15" Maana yeye aliyejuu aliyetukuka akaaye milele.ambaye jina lake ni mtakatifu.Asema hivi;nakaa mimi mahali palipoinuka palipo patakatifu:Tena pamoja na yeye aliye na roho iliyotubu na kunyenyekea ili kuzifufua roho za watu wangu kuwaleta kwangu walio wangu. SOMO LITASIMAMA MUNGU ANAKETI NA WENYE TOBA WALIOAMUAKUMFATA YEYE . 2" SOMO UKIMUUZI ROHO WA MUNGU HASIRA YA MUNGU ITAWAKA JUU YAKO . ISAYA .63:10 Lakini wakaasi wakamhuzunisha roho yake mtakatifu kwa hiyo akawageukia MUNGU akawaka hasira juu yao.. 3" UBATIZO ALIOUACHA YESU SI WA MAJI BALI WA ROHO MTAKATIFU YEYE NDIYE ALIYEKUJA AKAMALIZIA KUBATIZWA NA MAJI KISHA YEYE NAE AKATULETEA UBATIZO WA ROHO MTAKATIFU SOMA VIZURI . MATHAYO .3:11 " YOHANA AKAWAMBI A MIMI NAWABATIZA KWA MAJI BALI YEYE AJAYE NYUMA YANGU ANAGUVU KULIKO MIMI WALA SISTAHILI KUVICHUKUA VIATU VYAKE....

OMBEA AMANI NDOA ZA WAUMINI WAKO AU NDOA YAKO.

NJISI YA KUFATA FATA MTILILIKO WA MAOMBI KWANZA JIWEKE KATIKA UWEPO OMBA TOMBA MSAMAHA ULIPOMKOSEA MUNGU. ANZA KUOMBA eeh bwana yesu mwingi wa rehema mimi mtumwa wako nasimama kwa niamba yako na kuwakabili wote wanaosimama ndani ya ndoa ya wanangu na ndani yangu kuiba amani nawaunguza na moto na moto wa yesu naziteketeza hizo roho narusu upendo amani ikatawale.kuanzia sasa ktk jina la yesu.AMEN OMBA MARA UPATAPO MDA KILA SIKU KWA SIKU 40 KISHA UTUME SADAKA YA KUKOMBOA AMANI NA KUINDAI AMANI POPOTE ILIPOENDA MUNGU ARUDISHE .